He! Arsenal yaajiri kocha wa mipira ya kurusha ARSENAL inataka iwe tishio zaidi kwenye mipira iliyokufa baada ya kumchukua gwiji wa mipira ya kurusha, Thomas Gronnemark.
Juventus wajibiwa ishu ya Federico Chiesa LIVERPOOL imeripotiwa kuwaambia Juventus ni wakati gani Federico Chiesa atakwenda kuungana nao.
Mtalii Balotelli ajiunga klabu ya 14 kwenye soka SUPASTAA straika Mario Balotelli sasa amekamilisha mpango wake wa kujiunga na klabu ya 14 katika maisha yake ya soka baada ya kuibukia Al-Ittifaq ya Dubai.
Kocha Morocco atoa msimamo KOCHA wa Morocco, Walid Regragui, ameitaka timu ya taifa kuepuka kujivuna baada ya kufuzu nusu fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON), kufuatia ushindi walioupata wakiwa nyumbani wikiendi...
MAMBO NI MOTO! Makocha wa nusu fainali wana mizizi FAINALI za 35 za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025 zinazoendelea Morocco, zimefikia patamu baada ya timu nne za mwisho kutinga nusu fainali zikisaka ubingwa wa michuano uliotemwa na Ivory...
Vigogo Chelsea wapania kumng’oa Vinicius Madrid CHELSEA imeingia katika vita ya kuiwania saini ya mshambuliaji wa Real Madrid na timu ya taifa ya Brazl ili kumsajili dirisha lijalo la majira ya kiangazi.
Kocha mpya Chelsea ataka njia za Ferguson KOCHA mpya wa Chelsea, Liam Rosenior amesema ni mkubwa sana licha ya baadhi ya watu kubeza kwamba timu ina watoto wengi.
Kuhusu Jude Bellingham sikia hii STAA wa Real Madrid, Jude Bellingham ameweka wazi juu ya uwezekano wa kucheza Ligi Kuu England, baada ya ripoti kudai kuwa mchezaji huyo wa kimataifa wa Real Madrid anaweza akatua katika ligi hiyo.
Majeraha yazidi kuitafuna Spurs TATIZO la majeruhi katika kikosi cha Tottenham Hotspur limezidi kuwa baya zaidi baada ya mchezaji wao wa kimataifa wa Brazil, Richarlison, kuondoka Uwanjani akiwa anachechemea katika mechi yao ya...