Pale Real Madrid kuna ‘utoto mwingi’ Kocha wa zamani wa Real Madrid Xabi Alonso aliwahi kuwaambia wazi wachezaji wake kuwa wanatabia za watoto wa chekeche, hali inayosababisha timu kuwa kwenye hali yao ya sasa.
Singida Black Stars kutumia mbili Bara kujiweka sawa Afrika KOCHA Mkuu wa Singida Black Stars, David Ouma amesema mechi mbili za Ligi Kuu Bara dhidi ya Dodoma Jiji na JKT Tanzania watazitumia kama njia ya kujiweka tayari kwa ajili pambano la michuano ya...
Ni Senegal, Morocco fainali Afcon 2025 WENYEJI wa mashindano ya Kombe la Mataifa Afrika (AFCON) 2025, Morocco wamefanikiwa kutinga fainali ya michuano hiyo baada ya kuichapa Nigeria kwa penalti 4-2 katika mchezo uliofanyika Rabat.
Bao la Sadio Mane laiingiza Senegal fainali Afcon 2025 STAA, Sadio Mane amefunga bao pekee wakati Senegal walipoichapa Misri na kutinga fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika 2025 (AFCON) na hivyo kumaliza ndoto ya Mohamed Salah ya kushinda taji lake...
Real Madrid ikimvutia waya Klopp, wanambeba JURGEN Klopp ametajwa kuwa kinara kwenye orodha ya makocha wanaopewa nafasi ya kupewa kibarua Real Madrid huku ripoti zikifichua gwiji huyo wa Liverpool yupo tayari kukubali kazi hiyo.
Vigogo Manchester City wamng’ang’ania Guehi MANCHESTER CITY inajiandaa kuwasilisha ofa ili kumsajili beki wa kati wa Crystal Palace na timu ya taifa ya England, Marc Guehi, 25, kabla ya kufungwa dirisha la usajili la Januari.
Kocha mpya kuketi kitako na Sterling STAA wa Chelsea, Raheem Sterling, ambaye kwa sasa ametengwa kikosini, anatarajiwa kufanya mazungumzo ya dharura na kocha mpya wa timu hiyo, Liam Rosenior, siku chache zijazo.
Mamadou Sakho kaona sasa inatosha, basi BEKI wa zamani wa Liverpool, Mamadou Sakho, ametangaza kustaafu soka akiwa na umri wa miaka 35.
Fomesheni nne za kocha Man United! MICHAEL Carrick anaweza kuanzisha mambo mapya Manchester United kwa kukiandaa kikosi kitakachocheza kwenye njia nne tofauti akiwa kocha wa muda.