Mbappe, Real Madrid wavutana mashati REAL Madrid imeingia kwenye mvutano wa ndani baada ya kuzuka kwa tofauti kubwa ya maoni kati ya uongozi wa klabu na watu wa karibu wa Kylian Mbappe kuhusu muda sahihi wa mshambuliaji huyo kupona...
Steven Gerrard ampa ushauri Slot LEJENDI wa Liverpool, Steven Gerrard ameweka shinikizo kwa Kocha Arne Slot baada ya mwenendo mbaya wa timu hiyo ikiwemo kupoteza kwa mabao 2-1 dhidi ya Wolves Jumanne usiku.
Bonasi yaibua ushindani BDL NAHODHA wa Stein Warriors, Mwalimu Herry amekiri kuna mabadiliko makubwa katika mchezo huo, yakichangiwa na udhamini pamoja na bonasi zinazotolewa kwa wachezaji.
Planet, Bandari kazi ipo fainali Dunda Swish Basketball Tournament FAINALI ya kwanza ya Dunda Swish Basketball Tournament, inatarajia kufanyika keshokutwa (Jumapili) ikizikutanisha Bugando Planet na Bandari Mwanza, kwenye Uwanja wa Mirongo, Mwanza.
Osimhen kumrithi Harry Kane Bayern Munich BAYERN Munich inaripotiwa kuongeza kasi katika mpango wao wa kumsajili straika wa Galatasaray, Victor Osimhen, ikiwa ni katika kujiandaa na maisha bila ya staa wao Harry Kane ambaye umri...
Real Madrid yaachana na mpango wa Rodri REAL MADRID imeonekana kupunguza kabisa nia yake ya kumsajili kiungo wa Manchester City, Rodri, baada ya kubaini dili hilo linaweza kuwagharimu si chini ya Euro 60 milioni dirisha lijalo la...
Mechi za ubingwa Arsenal, Man City hesabu zipo hapa KATIKATI ya wiki hii, Arsenal iliweka katika nafasi nzuri zaidi ya kuchukua taji la Ligi Kuu England msimu huu, baada ya kuichapa Brighton & Hove Albion, wakati wapinzani wao Manchester City...
Nigeria yagonga mwamba, FIFA yatoa orodha ya mwisho Kombe la Dunia 2026 SHIRIKISHO la Soka la Kimataifa (FIFA) limetoa orodha ya mwisho ya mataifa yatakayochuana katika michuano ya mchujo ya mabara (inter-confederation play-offs), huku Jamhuri ya Kidemokrasia ya...
Rani Khedira kuitumikia Tunisia Kombe la Dunia 2026 KIUNGO wa Union Berlin ya Ujerumani, Rani Khedira, amethibitishwa rasmi kuitumikia timu ya taifa ya Tunisia, baada ya kupewa kibali cha mwisho na Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA) sambamba...
Aucho mambo safi Singida BS, rasmi arejea kazini UONGOZI wa Singida Black Stars, umetangaza kumsamehe kiungo wa timu hiyo, Khalid Aucho na kumrejesha kazini kuanzia leo Machi 5, 2026 baada ya kufanyika kwa majadiliano na tathmini ya kina...