Newcastle: Mtupishe Isak, Bruno hawauzwi MABOSI wa Newcastle United wamezipiga onyo kali klabu za Liverpool, Arsenal na Manchester City kuacha kuwasumbua kwa sababu mastaa wao Alexander Isak na Bruno Guimaraes hawauzwi.
Salah aambiwa baki Liverpool SUPASTAA wa Liverpool, Mohamed Salah ametakiwa kutoshawishika na ofa za klabu za Saudi Arabia, badala yake abaki Liverpool atengeneze hadhi na heshima hata kama atashinda mataji ya Ligi Kuu...
Haya Arteta apigwa kombora NAHODHA wa zamani wa Arsenal, William Gallas amemtolea uvivu kocha wa sasa wa miamba hiyo ya Emirates, Mikel Arteta kwamba Mhispaniola huyo si kocha wa viwango vya juu.
Mwakinyo ashikiliwa kituo cha Polisi Tanga, sababu yatajwa Bondia wa ngumi za kulipwa nchini na bingwa wa mkanda wa WBO Afrika katika uzani wa middle, Hassan Mwakinyo anashikiliwa na Jeshi la Polisi Mkoa wa Tanga akituhumiwa kumshambulia mtu anayedaiwa...
Mrithi wa Edu kuleta mavitu ya Atletico Madrid HATIMAYE baada ya mchakato wa muda mrefu wa kumsaka mrithi wa nafasi ukurugenzi wa michezo wa klabu ya Arsenal, iliyokuwa ikishikiliwa na Edu, sasa amepatikana.
Liverpool wanauliza, bado ngapi? HESABU za ubingwa kwa Majogoo wa Jiji la Liverpool zinatoa matumaini katika kutwaa taji la Ligi Kuu England msimu huu baada ya ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Southampton juzi Jumamosi.
Palmer atetewa kukosa penalti KOCHA wa Chelsea, Enzo Maresca amemtetea staa wake Cole Palmer kwa kukosa penalti dhidi ya Leicester City akidai kwamba kiungo huyo mshambuliaji aliumwa kabla ya mechi.
Arsenal kutimua watu ilete wapya NDO hivyo. Maandalizi ya msimu wa 2025/26 kwa Arsenal yameshaanza, ambapo kuna mastaa kadhaa watafunguliwa mlango ili kuleta vyuma vipya.
Huko Liverpool pancha kibao! HIVI karibuni hali ya Liverpool inaonekana kuwa sio nzuri kutokana na matokeo ambayo imekuwa ikiyapata katika michuano mbalimbali.
Chama, Musonda waendelea kutamba Zambia, Mutale amwagwa Licha ya kutopata muda mwingi wa kucheza katika kikosi cha Yanga, kiungo mshambuliaji Clatous Chama na mshambuliaji Kennedy Musonda wameitwa katika kikosi cha Zambia kwa ajili ya mechi ya...