Kocha England hacheki na wowote KOCHA wa timu ya taifa ya England, Thomas Tuchel ameahidi kuendelea kuwachukua wachezaji wanaoonyesha kiwango bora tu na hatojali hata kama ataacha kuwachezesha au kuwaita wachezaji wenye majina...
Ukweli wa dili la Wirtz Liverpool KIUNGO Florian Wirtz ametua Liverpool kwa ada iliyovunja rekodi ya uhamisho huko England ya Pauni 116 milioni, Juni mwaka huu.
Gyokeres ashinda tuzo ya ubora Ureno STRAIKA mpya wa Arsenal, Viktor Gyokeres ameishukuru Sporting CP kwa kile alichofanya msimu uliopita licha ya miamba hiyo ya Ureno kumpiga faini ya Pauni 306,000 kutokana na kufanya mgomo wa kuhama.
Usaliji wa Isak Liverpool wa aina yake IMEFICHUKA. Liverpool walilazimika kuwatumia wataalamu wao wa sayansi ya michezo kukamilisha usajili wa kihistoria wa dakika za mwisho wa Alexander Isak.
Spurs kujipanga upya, yamwaga pesa WAMILIKI wa Tottenham kampuni ya ENIC, wako tayari kuwekeza Pauni 100 milioni katika klabu hiyo ikiwa ni siku kadhaa baada ya kuachana na mwenyekiti Daniel Levy.
Sikia Jackson alichoifanyia Bayern Munich STAA wa Chelsea, Nicolas Jackson alifanya jitihada zisizo za kawaida kuhakikisha ndoto yake ya kujiunga na Bayern Munich inatimia.
Cunha apandisha mzuka Man United MATHEUS Cunha ameipa matumaini makubwa Manchester United juu ya majeraha yake yanamsumbua wakati ligi ikiwa imesimama kupisha mechi za kimataifa.
Kilichomponza Jose Mourinho ni hiki RAIS wa Fenerbahce, Ali Koc amefunguka uamuzi wa klabu hiyo kumfuta kazi kocha Jose Mourinho.
Arteta aogopa mziki wa Slot KOCHA wa Arsenal, Mikel Arteta amesema Liverpool imesajili kikosi bora kabisa ikitumia zaidi ya Pauni 400 milioni kwenye dirisha la usajili la majira ya kiangazi mwaka huu na kusema mbio za...
Simbu aiandika rekodi Duniani akiipa Tanzania dhahabu ya kwanza Historia imeandikwa kwenye mashindano ya Dunia ya Riadha 2025 baada ya mwanariadha, Alphonce Simbu kuibuka kinara wa mbio hizo na kuipa Tanzania medali ya dhahabu ya kwanza kwenye mashindano hayo...