Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

8693 results for Mwandishi :

  1. Kocha England hacheki na wowote

    KOCHA wa timu ya taifa ya England, Thomas Tuchel ameahidi kuendelea kuwachukua wachezaji wanaoonyesha kiwango bora tu na hatojali hata kama ataacha kuwachezesha au kuwaita wachezaji wenye majina...

  2. Ukweli wa dili la Wirtz Liverpool

    KIUNGO Florian Wirtz ametua Liverpool kwa ada iliyovunja rekodi ya uhamisho huko England ya Pauni 116 milioni, Juni mwaka huu.

    WITZ Pict
  3. Gyokeres ashinda tuzo ya ubora Ureno

    STRAIKA mpya wa Arsenal, Viktor Gyokeres ameishukuru Sporting CP kwa kile alichofanya msimu uliopita licha ya miamba hiyo ya Ureno kumpiga faini ya Pauni 306,000 kutokana na kufanya mgomo wa kuhama.

    GYOKERES Pict
  4. Usaliji wa Isak Liverpool wa aina yake

    IMEFICHUKA. Liverpool walilazimika kuwatumia wataalamu wao wa sayansi ya michezo kukamilisha usajili wa kihistoria wa dakika za mwisho wa Alexander Isak.

    ISAK Pict
  5. Spurs kujipanga upya, yamwaga pesa

    WAMILIKI wa Tottenham kampuni ya ENIC, wako tayari kuwekeza Pauni 100 milioni katika klabu hiyo ikiwa ni siku kadhaa baada ya kuachana na mwenyekiti Daniel Levy.

    SPURS Pict
  6. Sikia Jackson alichoifanyia Bayern Munich

    STAA wa Chelsea, Nicolas Jackson alifanya jitihada zisizo za kawaida kuhakikisha ndoto yake ya kujiunga na Bayern Munich inatimia.

    JACKSON Pict
  7. Cunha apandisha mzuka Man United

    MATHEUS Cunha ameipa matumaini makubwa Manchester United juu ya majeraha yake yanamsumbua wakati ligi ikiwa imesimama kupisha mechi za kimataifa.

    CUNHA Pict
  8. Kilichomponza Jose Mourinho ni hiki

    RAIS wa Fenerbahce, Ali Koc amefunguka uamuzi wa klabu hiyo kumfuta kazi kocha Jose Mourinho.

    MOURINHO Pict
  9. Arteta aogopa mziki wa Slot

    KOCHA wa Arsenal, Mikel Arteta amesema Liverpool imesajili kikosi bora kabisa ikitumia zaidi ya Pauni 400 milioni kwenye dirisha la usajili la majira ya kiangazi mwaka huu na kusema mbio za...

  10. Simbu aiandika rekodi Duniani akiipa Tanzania dhahabu ya kwanza

    Historia imeandikwa kwenye mashindano ya Dunia ya Riadha 2025 baada ya mwanariadha, Alphonce Simbu kuibuka kinara wa mbio hizo na kuipa Tanzania medali ya dhahabu ya kwanza kwenye mashindano hayo...

Previous

Page 166 of 870

Next