Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

8494 results for Mwandishi Wetu :

  1. Kompyuta imesema... Spurs haishuki daraja EPL

    MATUMANI ya Tottenham Hotspur kusalia katika Ligi Kuu England msimu huu yapo shakani, huku kompyuta ya utabiri (supercomputer) ikitoa tathmini kuhusu hofu ya kushuka daraja kwa kikosi hicho baada...

  2. Miaka tisa ya dhahabu kwa Mo Salah Liverpool

    “KAMA hujafanikiwa mwanzo, jaribu tena na tena.” Kauli hiyo maarufu imekuwa kiini cha taaluma ya Mohamed Salah na pia safari yake akiwa Liverpool. Salah atahitimisha kipindi chake cha miaka tisa...

  3. Salah atangaza kuondoka Liverpool, atajwa kutua Al Ittihad

    Mshambualiaji Mohamed Salah (33), leo Jumanne ametangaza rasmi kuwa ataachana na Liverpool baada ya msimu huu kumalizika.

  4. Mayweather vs Pacquiao… Sa’ itakuwaje?

    KATIKA historia ndefu ya michezo ya ngumi, kumekuwa na mapambano mengi yaliyovutia hisia za mashabiki lakini ni machache ambayo yamefikia kiwango cha kuwa matukio makubwa ya kimataifa...

    NDONDI Pict
  5. PRIME Mapya ukimya tuzo za TFF, wahusika watia neno

    Soma hapa

    TUZO Pict
  6. Enzo kuondoka Chelsea, Real Madrid ikichomoza

    KIUNGO wa Chelsea na timu ya taifa ya Argentina, Enzo Fernandez anahusishwa kujiunga na Real Madrid baada ya fainali za Kombe la Dunia 2026.

    ENZO Pict
  7. Simu yamponza Depay, mwenyewe afafanua

    STRAIKA wa Corinthians ya Brazil, Memphis Depay amelazimika kutoa ufafanuzi baada ya kuonekana akitumia simu akiwa benchi baada ya kuambiwa aache kufanya hivyo.

    DEPAY Pict
  8. Antoine Griezmann kumfuata Messi MLS

    MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Ufaransa, Antoine Griezmann anatarajiwa kuwa “mpinzani” wa Lionel Messi tena katika Ligi kuu Marekani (Major League Soccer - MLS), jambo linalofufua kumbukumbu za...

    MLS Pict
  9. Jurgen Klopp akanusha uvumi wa kuinoa Real Madrid

    KOCHA wa zamani wa Liverpool, Jurgen Klopp amekanusha taarifa za kurejea kufundisha soka zinazomhusisha na Real Madrid, “hazina ukweli wowote.”

    KLOPP Pict
  10. Majanga! Majeruhi sita Arsenal wazua hofu

    BEKI wa Arsenal, Gabriel Magalhaes ameungana na nyota wengine watano wa kikosi hicho waliotemwa na timu zao za taifa kwa kuhofiwa kuwa majeruhi.

    MAJANGA Pict
Previous

Page 164 of 850

Next