Kazini kwa Gyokeres kuna kazi STRAIKA Viktor Gyokeres ni rahisi tu kusema kazini kwake kuna kazi baada ya magwiji tofauti wa Ligi Kuu England kumsakama wakidai “hana kile kinachohitajika” kuifanya Arsenal iwe mabingwa, kwa...
Aliye ‘inyonga’ Azam kuchezesha Yanga na Ahly leo Refa kutoka Cameroon Antoine Effa Essouma ndiye atachezesha mechi ya hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika msimu huu baina ya Yanga na Al Ahly, leo Jumamosi, Januari 31, 2025 katika Uwanja...
Rekodi hii ya Mbappe Madrid, Ronaldo akasome Zaidi ya nusu ya mabao ya Real Madrid katika Ligi ya Mabingwa Ulaya msimu huu yamefungwa na Kylian Mbappe, huu ni wastani mkubwa zaidi wa mabao kufungwa na mchezaji mmoja katika historia ya klabu...
Real Madrid ingemsikiliza Ronaldo ingekuwa na kikosi hiki 2018 SUPASTAA Cristiano Ronaldo ni mmoja wa wachezaji bora zaidi katika historia ya Real Madrid na kama vigogo hao wa Hispania wangesikiliza ushauri wake mwaka 2018, basi wangekuwa na kikosi cha...
Ukisikia wameondoka mwisho wa msimu Huu usishtuke! MASTAA hawa 10 wa Ligi Kuu England ambao wote waliwahi kushinda tuzo ya Mchezaji Bora wa Msimu katika klabu zao baadhi hata msimu uliopita tu, lakini sasa wanaweza kuwa njiani kuondoka mwishoni...
Chelsea kuvunja benki kwa Jude Bellingham CHELSEA inaripotiwa kupanga kutumia kiasi kikubwa cha hadi Euro 150 milioni kwa lengo la kumsajili kiungo wa Real Madrid na timu ya taifa ya England, Jude Bellingham, mwenye umri wa miaka 22.
Vita ya ubingwa EPL ni vuta, nikuvute! MSIMAMO unasoma, pointi nne tu zimetofautisha timu tatu za juu kwenye msimamo wa Ligi Kuu England. Arsenal ipo kileleni ikiwa imekusanya pointi 50 katika mechi 23, ikifuatiwa na Manchester City...
‘Ubaya ubwela’… Njia ya kwenda fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya NDO hivyo. Hii inaitwa ubaya ubwela. Njia ya kila timu ya England kwenda fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya msimu huu sasa imefahamika.
Ligi ya Mabingwa Ulaya inavyomwaga pesa kama njugu MKWANJA kamili kwenye Ligi ya Mabingwa Ulaya unaweza kuipa klabu angalau Pauni 115 milioni msimu huu, huku Arsenal, Chelsea, Liverpool na Manchester City zikipata zaidi kutokana na malipo ya...