Barcelona kusafiri umbali wa maili 10,000 BARCELONA inakabiliwa na kasheshe la kusafiri umbali wa karibu maili 10,000 siku chache kabla ya Krismasi kwenda kucheza mechi ya La Liga nje ya Hispania.
Unai Emery aleta janjajanja yake EPL KOCHA Unai Emery amesisitiza Aston Villa haitashindana kuwamo kwenye Top Seven msimu huu, lakini amesisitiza timu yake itajaribu kuzipa wakati mgumu timu zenye bajeti kubwa kwenye usajili.
Kilimanjaro ya Sweden yatwaa ubingwa wa bonanza Ubelgiji TIMU ya soka ya Watanzania, Kilimanjaro iliyopo Sweden imetwaa tena kwa mara ya nne mfululizo ubingwa wa Kombe la Bonanza la Serengeti katika michuano iliyofanyika kati ya Agosti 15-16 jijini...
Trent aanza kwa mkosi Madrid : BEKI Trent Alexander-Arnold ameanza vibaya maisha kwenye Ligi ya Mabingwa Ulaya akiwa na Real Madrid baada ya kuumia dakika ya tano na kushindwa kuendelea na mchezo.
Partey ashinda kesi ya kubaka KIUNGO wa zamani wa Arsenal, Thomas Partey hana hatia katika mashtaka yaliyokuwa yakimkabili ya kubaka na kufanya unyanyasaji.
Amorim atoa onyo kali Man United KOCHA wa Manchester United, Ruben Amorim wamewapa onyo wachezaji wake licha ya kuibuka na ushindi dhidi ya Chelsea wikindi iliyopita.
Man United ilivyomkosa Donnarumma Dirisha lililopita la usajili wa majira ya kiangazi, Manchester United ilikuwa miongoni mwa timu za mwisho kufanya usajili na ilimtoa kwa mkopo Andre Onana kwenda Trabzanspor kisha ikamsajili...
Shabiki United aliyegoma kunyoa afunguka SHABIKI wa Manchester United ambaye amekataa kukata nywele zake hadi timu hiyo ishinde mechi tano mfululizo amezungumza kuhusu shambulio alilopata kutoka kwa shabiki mwenzake.
Umeme wazua moto nyumbani kwa Vini Junior TATIZO la hitilafu ya umeme kutoka kwenye chumba cha sauna ndicho kilichoripotiwa kusababisha moto kwenye nyumba ya supastaa wa Real Madrid, Vinicius Jr.
Pacome anukia Kombe la Dunia, Afrika Kusini hali tete Ivory Coast imejiweka katika nafasi nzuri ya kufuzu Fainali za Kombe la Dunia 2026 baada ya leo Ijumaa, Oktoba 10, 2025 kuibuka na ushindi mnono ugenini wa mabao 7-0 dhidi ya Shelisheli.