Guardiola awatishia nyau Arsenal PEP Guardiola ameapa kuwa Manchester City itaendelea ‘kupumua shingoni mwa Arsenal’ baada ya ushindi wao wa kushangaza wa dakika za mwishoni dhidi ya Liverpool uwanjani Anfield, Jumapili.
Esperance yamtema kocha, kisa kichapo cha Stade Malien KLABU ya Esperance de Tunis imethibitisha kuachana na kocha mkuu wao Maher Al-Kanzari kufuatia kipigo cha 1-0 ilichopata ugenini dhidi ya Stade Malien katika mechi ya Ligi ya Mabingwa Afrika...
Pyramids, Stade Malien zashinda zikienda robo fainali, Lupopo yaitibulia Mamelodi STADE Malien imeifunga Esperance na kujihakikishia nafasi ya kucheza robo fainali huku Pyramids ikitinga hatua hiyo kwa kishindo ikiichapa River United ya Nigeria kwa mabao 4-1.
CUNHA; Nyota wa Brazil anayejenga utajiri England KWA wiki kadhaa jina la Matheus Cunha limekuwa likitajwa sana na mashabiki wa soka hususani wa timu yake Manchester United kutokana na kiwango bora alichoonyesha tangu kuanza kwa msimu huu.
Mke wa John Terry awa kivutio Paris TONI Terry, mke wa nyota na nahodha wa zamani wa kimataifa wa Chelsea na England, John Terry amekuwa gumzo jijini Paris baada ya kuonekana mtaani akiwa matembezini na mumee huku ametinga viwalo...
Lil Jon apata pigo akifiwa na mwanae DJ Young Slade, mtoto wa nyota muziki wa Marekani, Lil Jon amefariki dunia, baba yake alithibitisha taarifa hiyo kupitia taarifa rasmi siku ya Ijumaa.
Rashford, Barcelona sasa mambo freshi! BARCELONA imefikia makubaliano ya kumsainisha mkataba wa moja kwa moja mshambuliaji wa Manchester United na timu ya taifa ya England, Marcus Rashford, 28, anayecheza katika kikosi chao kwa mkopo...
Freshi wanetu... Ndo hivyo haikuwa rahisi USIKU wa jana, zimepigwa mechi tatu za CAF zilizohusisha timu za Tanzania ambapo Yanga ilikabiliana na AS FAR Rabat, huku Simba ikicheza dhidi ya Petro Atletico, hizi zilikuwa katika Ligi ya...
Kocha Spurs haijawahi kutokea KOCHA wa Tottenham, Thomas Frank ndiye kocha mwenye rekodi mbaya zaidi katika historia ya Ligi Kuu England kwa zile timu sita kubwa.