Maswali tata kwa England ya Tuchel kabla ya Kombe la Dunia WAKATI dunia ya soka ikisubiri kwa hamu fainali za Kombe la Dunia 2026, macho mengi yameelekezwa kwa timu ya taifa ya England, ambayo kwa miaka ya karibuni imekuwa ikipewa nafasi kubwa ya kufanya...
FIFA yapandisha bei ya tiketi Kombe la Dunia 2026 SHIRIKISHO la Soka Duniani, FIFA, limeongeza bei ya juu ya tiketi za fainali ya Kombe la Dunia 2026 hadi Dola 10,990 (zaidi ya Sh27 milioni za Kitanzania), hatua iliyokuja wakati wa kufunguliwa...
Rio Ferdinand aipa ujanja Manchester United NGULI wa zamani wa Manchester United, Rio Ferdinand, ameishauri klabu hiyo kuweka nguvu kubwa katika usajili wa viungo wawili kwenye dirisha lijalo la majira ya joto, akisisitiza pia kuongeza...
Wasaudia wataka kumalizana na Salah mapema MATAJIRI wa Ligi Kuu Saudi Arabia, wana matumaini makubwa ya kuipata huduma ya mshambuliaji wa Liverpool na timu ya taifa ya Misri, Mohamed Salah katika dirisha lijalo la majira ya kiangazi.
Kimeumana Chelsea! Enzo Fernandez apigwa ‘pini’, Cucurella matatani Chelsea imeingia katika kipindi cha misukosuko baada ya kiungo wake tegemeo, Enzo Fernandez kupewa adhabu kali kutokana na matamshi yake yaliyoashiria kutaka kuondoka klabuni hapo na kujiunga na...
De Zerbi: Nipo tayari kushuka na Spurs KOCHA mpya wa Tottenham Hotspur, Roberto De Zerbi amesema yuko tayari kubaki na klabu hiyo msimu ujao hata kama itashuka daraja mwishoni mwa msimu huu.
Ndo hivyo! Baada Buffon, Gravina ni zamu ya Gattuso HAKUNA namna. Baada ya kipigo kilichoiondoa Italia kwenye kufuzu fainali za Kombe la Dunia 2026, baadhi ya viongozi wa timu ya taifa wameanza kujichomoa kwenye timu hiyo wakiwamo Rais wa...
Bayern Munich yafukuzia rekodi Bundesliga MABINGWA watarajiwa Bayern Munich inaendelea kuwasha moto kwenye Bundesliga ikisaka kuweka rekodi mpya ya mabao msimu huu.
Dar City, Petro de Luanda vita ya nafasi BAL DAR City na Petro de Luanda ya Angola zinatarajiwa kuonyeshana kazi katika mechi ya Ligi ya Kikapu ya Afrika (BAL) inayotazamiwa kutoa mwelekeo wa mabingwa wa Ligi ya Kikapu Dar es Salaam (BDL)...