Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

8682 results for Mwandishi :

  1. Basi la Barca lashambuliwa London

    BASI rasmi lililokuwa limebeba timu ya Barcelona lilishambuliwa usiku wa juzi jijini London wakati likienda kwenye Uwanja wa Stamford Bridge kwa ajili ya mechi ya Ligi ya Mabingwa dhidi ya Chelsea.

  2. TFF yaufungia Mkwakwani, Coastal, African Sports kusaka chimbo jipya

    SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), limeufungia Uwanja wa Mkwakwani uliopo Tanga kutumika kwa michezo ya Ligi kwa kukosa vigezo vya kikanuni na sheria za mpira wa miguu.

  3. Wafanyakazi Man United ni kicheko tu

    WAFANYAKAZI wa Manchester United watasherehekea msimu wa sikukuu kwa kufanya sherehe ya Krismasi pamoja kwa mara ya kwanza tangu ujio wa Sir Jim Ratcliffe.

    MAN UNITED Pict
  4. Maresca: Hincapie? Ile ni kadi nyekundu

    KOCHA wa Chelsea, Enzo Maresca amelalamika kwenye mechi ya dhidi ya Arsenal, timu zote mbili zilipaswa kumaliza zikiwa na wachezaji 10 uwanjani.

  5. Sh317 milioni zatua Ligi ya Kikapu Taifa

    LIGI ya Taifa ya Mpira wa Kikapu (NBL) inayoendelea kuchezwa kwenye Uwanja wa Chinangali mkoani Dodoma imelamba udhamini wa Sh317,025,900 kutoka kampuni ya BetPawa.

    KIKAPU Pict
  6. Mamadou Sakho kaona sasa inatosha, basi

    BEKI wa zamani wa Liverpool, Mamadou Sakho, ametangaza kustaafu soka akiwa na umri wa miaka 35.

    MAMADOU Pict
  7. Michael Carrick afunguka kuhusu Solskjaer

    KOCHA wa muda wa Manchester United, Michael Carrick amefichua Ole Gunnar Solskjaer amekuwa akimpa sapoti na kumtia moyo licha ya kumshinda katika kinyang'anyiro cha kuwania kazi ya ukocha Old...

    CARRICK Pict
  8. Badala ya AJ, Furry kuzitwanga na huyu

    BAADA ya kupoteza pambano la pili mfululizo dhidi ya Oleksandr Usyk Desemba 2024 na baadae kuamua kustaafu ndondi, Tyson Furry ametangaza atarejea ulingoni mwaka huu ikiwa imepita miezi 14 tangu...

  9. Bao la Sadio Mane laiingiza Senegal fainali Afcon 2025

    STAA, Sadio Mane amefunga bao pekee wakati Senegal walipoichapa Misri na kutinga fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika 2025 (AFCON) na hivyo kumaliza ndoto ya Mohamed Salah ya kushinda taji lake...

    MANE Pict
  10. Van Dijk ashambuliwa, mwenyewe asingizia upepo

    BEKI wa Liverpool, Virgil van Dijk amekosolewa vikali baada ya kufanya makosa yaliyosababisha timu yake kupoteza kwa mabao 3-2 mbele ya Bournemouth, Jumamosi usiku licha ya mwenyewe kujitetea...

    VAN Pict
Previous

Page 144 of 869

Next