Cunha ajifunza mapigano kudhibiti hasira uwanjani STAA wa Manchester United, Matheus Cunha amekuza makali yake uwanjani kwa kujifunza sanaa ya mapigano ya Kibrazili, Jiu Jitsu.
Mbio za ubingwa EPL, Gary Neville aipa mbinu mpya Arsenal Beki na nahodha wa zamani wa Manchester United, Gary Neville, amesisitiza kuwa Arsenal lazima waibuke na ushindi dhidi ya Manchester City katika Uwanja wa Etihad iwapo wanataka kuwa mabingwa wa...
Baada ya kukiwasha dhidi ya Spurs, Arteta afichua hasira za Eze KOCHA Mkuu wa Arsenal, Mikel Arteta, amedai kuwa kiungo Eberechi Eze, alikuwa na hisia za kukasirishwa na hatua ya kucheza mechi chache hivi karibuni.
Mdau wa soka Nigeria awaonya viongozi NFF ishu ya Chelle MWENYEKITI wa zamani wa Shirikisho la Soka la Jimbo la Gombe, Ahmed Shuaibu Gara-Gombe, ameuonya uongozi wa Shirikisho la Soka la Nigeria (NFF) kuhusu mchakato wa kusaini mkataba mpya na Kocha...
Philippe Coutinho pesa sio shida zake WIKI iliyopita kiungo mshambuliaji wa Brazil, Philippe Coutinho, alitamba katika vichwa vya habari baada ya kuvunja mkataba wake na klabu ya Vasco da Gama ya Brazil kwa kile kilichoelezwa kuwa ni...
Neymar kustaafu hivi karibuni STAA wa kimataifa wa Brazil, Neymar amesema kuwa anafikiria kustaafu kucheza soka katika miezi michache ijayo.
Anthony Gordon aangaliwa kuwa mbadala wa Salah LIVERPOOL inaandaa ofa ya Pauni 83 milioni kumsajili winga wa Newcastle United na timu ya taifa ya England, Anthony Gordon, 24, ikiwa mshambuliaji wao wa kimataifa wa Misri Mohamed Salah, 33...
Michael Carrick atamani dili Man United KOCHA wa mpito wa Manchester United, Michael Carrick sasa yuko kwenye mchakato wa kuwa kocha rasmi wa mashetani wekundu hao.
Geay afunika tena Deagu Marathon MWANARIADHA nyota wa kimataifa wa riadha wa Tanzania, Gabriel Geay amefanya kweli katika Mbio za Daegu Marathon 2026 kwa kutetea ubingwa wa mbio hizo kwa mara ya pili mfululizo zilizofanyika...