Kinda Arsenal aingia anga za Madrid MABOSI wa Real Madrid wametua kwa beki wa kushoto wa Arsenal Myles Lewis-Skelly na wanataka kumsajili katika dirisha lijalo la majira ya kiangazi.
Kigwangalla ammwagia maua MO Dewji, Simba Mwanachama mwandamizi wa Simba na Mbunge wa Nzega Vijijini, Dk Hamis Kigwangalla amefurahishwa na maendeleo ya timu hiyo huku akisema kwa sasa anakoshwa na utendaji kazi wa Mwenyekiti wa Bodi ya...
CAF yadaiwa kuiondoa Simba, Berkane Kwa Mkapa TAARIFA mbaya kwa Simba ni kwamba, Shirikisho la Soka Afrika (CAF), imedaiwa kuwa, limeuondoa mchezo wa fainali ya pili ya Kombe la Shirikisho Afrika kati ya Simba na RS Bekrane kupigwa Uwanja...
Nwaneri kuvalishwa namba mpya Arsenal ARSENAL imempa namba mpya ya jezi kinda wake Ethan Nwaneri kwa ajili ya msimu wa 2025/26.
Kipigo hakijamshtua Enrique kuwavaa Arsenal LICHA ya kupoteza kwa mara ya kwanza wiki iliyopita tangu kuanza kwa msimu huu, kocha wa Paris Saint-Germain, Luis Enrique, amesisitiza kwamba hajali kabisa kuhusu matokeo hayo na anaona hayana...
Mikel Obi afichua usajili wa Osimhen RAFIKI wa Victor Osimhen ambaye ni mchezaji wa zamani wa Chelsea, John Obi Mikel amesema staa huyo anatamani na anataka kucheza Chelsea licha ya tetesi zinazodai kwamba yupo karibu kutua...
Partey apewa kesi ya kubaka ALIYEKUWA kiungo wa Arsenal, Thomas Partey amefunguliwa mashtaka matano ya madai ya ubakaji yakihusisha wanawake wawili.
Rashford avuliwa jezi, apewa Cunha Man United STAA wa Manchester United, Marcus Rashford amevuliwa jezi namba 10 na kukabidhiwa staa mpya, Matheus Cunha.
Son awasubirisha Wamarekani KLABU ya soka ya Los Angeles FC ya Marekani italazimika kusubiri kwa muda kwenye mchakato wa kunasa saini ya nahodha wa Tottenham Hotspur, Son Heung-min.
Calvert-Lewin atua anga za kocha Man United MANCHESTER UNITED inafanya jaribio la kushangaza kumsajili mchezaji huru Dominic Calvert-Lewin ambaye msimu uliopita aliichezea Everton.