Serengeti Boys mzigoni leo KIKOSI cha Timu ya Taifa ya Tanzania chini ya umri wa miaka 17, Serengeti Boys, Jumatatu hii kitacheza dhidi ya Zambia katika mechi ya kwanza ya Kombe la Mataifa ya Afrika kwa vijana chini ya...
Mnamtaka Bruno? Mtasumbuka tu KOCHA wa Manchester United, Ruben Amorim amemwambia kiungo Bruno Fernandes hatauzwa kwa bei yoyote ile licha ya miamba hiyo ya Old Trafford kuhitaji pesa kwa nguvu zote.
Osimhen akataa pesa za Waarabu LICHA ya mshahara mkubwa uliowekwa mezani kutoka kwa miamba ya Ligi Kuu ya Saudi Arabia, Al-Hilal, Victor Osimhen bado hajashawishika kujiunga nao na ripoti zinaeleza Napoli wamekataa pia ofa...
Ferdinand ataja timu za ubingwa RIO Ferdinand ametabiri Liverpool na Manchester City ni timu pekee zenye uwezo wa kushinda ubingwa wa Ligi Kuu England msimu ujao, akiiweka kando Arsenal.
Chelsea yampitia fasta Joao Pedro CHELSEA imevamia mawindo ya Newcastle United na kufanikiwa kunasa huduma ya Joao Pedro na imekubali kulipa Pauni 55 milioni kwenye dili la kumnasa mshambuliaji huyo wa Brighton.
Paul Pogba kuvaa namba 8 Monaco KIUNGO supastaa, Paul Pogba amekamilisha uhamisho wake wa kujiunga na AS Monaco, ambako atavaa jezi yenye Namba 8 mgongoni, imeelezwa.
Arsenal yafunika kulipa wagonjwa HABARI ndo hiyo. Hatimaye, Arsenal imebeba taji la kuwa timu iliyotumia pesa nyingi zaidi kuwalipa mishahara wachezaji majeruhi.
Kisa Kudus Spurs yaambiwa “kuweni siriazi basi” MABOSI wa West Ham United wamewaambia Tottenham Hotspur wanapaswa kuwa siriazi kama kweli wanahitaji huduma ya supastaa Mohammed Kudus baada ya kugomea ofa yao ya kwanza.
Amorim akutana na mabosi Man United KOCHA Ruben Amorim alilazimika kusafiri hadi Monaco kwenda kuzungumza na mabosi wa Manchester United saa chache baada ya kichapo fainali ya Europa League.
Antony ataka kubakia Hispania WINGA wa Manchester United ambaye msimu uliomalizika alikuwa akicheza kwa mkopo Real Betis, anadaiwa kutaka kuendelea kusalia nchini Hispania ambako Atletico Madrid inafanya kila linalowezekana...