Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

8677 results for Mwandishi :

  1. Serengeti Boys mzigoni leo

    KIKOSI cha Timu ya Taifa ya Tanzania chini ya umri wa miaka 17, Serengeti Boys, Jumatatu hii kitacheza dhidi ya Zambia katika mechi ya kwanza ya Kombe la Mataifa ya Afrika kwa vijana chini ya...

    SERENGETI Pict
  2. Mnamtaka Bruno? Mtasumbuka tu

    KOCHA wa Manchester United, Ruben Amorim amemwambia kiungo Bruno Fernandes hatauzwa kwa bei yoyote ile licha ya miamba hiyo ya Old Trafford kuhitaji pesa kwa nguvu zote.

  3. Osimhen akataa pesa za Waarabu

    LICHA ya mshahara mkubwa uliowekwa mezani kutoka kwa miamba ya Ligi Kuu ya Saudi Arabia, Al-Hilal, Victor Osimhen bado hajashawishika kujiunga nao na ripoti zinaeleza Napoli wamekataa pia ofa...

    OSIMHEN Pict
  4. Ferdinand ataja timu za ubingwa

    RIO Ferdinand ametabiri Liverpool na Manchester City ni timu pekee zenye uwezo wa kushinda ubingwa wa Ligi Kuu England msimu ujao, akiiweka kando Arsenal.

    FERDINAND Pict
  5. Chelsea yampitia fasta Joao Pedro

    CHELSEA imevamia mawindo ya Newcastle United na kufanikiwa kunasa huduma ya Joao Pedro na imekubali kulipa Pauni 55 milioni kwenye dili la kumnasa mshambuliaji huyo wa Brighton.

    CHELSEA Pict
  6. Paul Pogba kuvaa namba 8 Monaco

    KIUNGO supastaa, Paul Pogba amekamilisha uhamisho wake wa kujiunga na AS Monaco, ambako atavaa jezi yenye Namba 8 mgongoni, imeelezwa.

  7. Arsenal yafunika kulipa wagonjwa

    HABARI ndo hiyo. Hatimaye, Arsenal imebeba taji la kuwa timu iliyotumia pesa nyingi zaidi kuwalipa mishahara wachezaji majeruhi.

  8. Kisa Kudus Spurs yaambiwa “kuweni siriazi basi”

    MABOSI wa West Ham United wamewaambia Tottenham Hotspur wanapaswa kuwa siriazi kama kweli wanahitaji huduma ya supastaa Mohammed Kudus baada ya kugomea ofa yao ya kwanza.

  9. Amorim akutana na mabosi Man United

    KOCHA Ruben Amorim alilazimika kusafiri hadi Monaco kwenda kuzungumza na mabosi wa Manchester United saa chache baada ya kichapo fainali ya Europa League.

    AMORIM Pict
  10. Antony ataka kubakia Hispania

    WINGA wa Manchester United ambaye msimu uliomalizika alikuwa akicheza kwa mkopo Real Betis, anadaiwa kutaka kuendelea kusalia nchini Hispania ambako Atletico Madrid inafanya kila linalowezekana...

Previous

Page 135 of 868

Next