Arteta hataki kumtema Partey KOCHA Mikel Arteta ameripotiwa kwamba kwa mara ya kwanza anataka kiungo Thomas Partey asainishwe mkataba mpya wa kuendelea kubaki Arsenal.
Ekitike suala la muda Anfield STRAIKA, Hugo Ekitike anatarajia kutambulishwa kuwa staa mpya wa kikosi cha Arne Slot baadaye wiki hii baada ya Liverpool kukubali kulipa Pauni 79 milioni kunasa huduma ya mkali huyo kutoka...
Serikali yapiga marufuku jezi feki CHAN 2024 Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo imewataka Watanzania kuhakikisha wanavaa jezi sahihi za timu ya taifa 'Taif Stars' katika kipindi chote cha Fainali za Mataifa ya Afrika kwa...
Kuhusu Rashford kucheza Barca ipo hivi STAA wa Manchester United, Marcus Rashford ambaye amejiunga na Barcelona kwa mkopo wa msimu mmoja katika dirisha hili, amezungumza kwa mara ya kwanza kuhusu hofu kwamba huenda akashindwa kucheza...
Son atoa chozi akiaga Spurs STAA na nahodha wa Tottenham Hotspur, Son Heung-min ameshindwa kuvumilia na kumwaga chozi wakati anatangaza kuachana na miamba hiyo ya London.
Eze, Guehi kutuliza mzuka BEKI wa kati, Marc Guehi na kiungo mshambuliaji Eberechi Eze huenda wote wakabaki Crystal Palace msimu huu baada ya mastaa hao kuwindwa na timu kibao.
Saka atia tiki usajili wa Eze BUKAYO Saka amewasha moto baada ya kusikia mpango wa Arsenal wa kutaka kumleta Eberechi Eze kwenye kikosi hicho huku jambo hilo likidaiwa kuwapa raha kubwa mashabiki wa timu hiyo ya Emirates.
Carragher akataa usajili wa Isak GWIJI wa Liverpool, Jamie Carragher amewaambia mabosi kufuta mpango wa kumsajiliAlexander Isak.
Arteta: Real Madrid wepesi tu KOCHA wa Arsenal Mikel Arteta amewatia moyo na kuwataka wachezaji wake kujiandaa vilivyo kuelekea mchezo wao ujao wa robo fainali ya Ligi ya Mabingwa dhidi ya Real Madri baada ya kufanikiwa...
Real Madrid kumnunua Trent fasta REAL Madrid ipo tayari kuilipa Liverpool mkwanja kumnasa Trent Alexander-Arnold kabla ya kufanyika kwa michuano ya Kombe la Dunia la Klabu, Juni mwaka huu.