Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

141 results for DK. SHITA SAMWEL :

  1. SPOTI DOKTA: Hii ndio siri ya ulaji protini kwa wanamichezo

    WIKI iliyopita ligi mbalimbali zilisimana kupisha michezo ya kimataifa ya kuwania tiketi za kufuzu ushiriki wa fainali za Kombe la Dunia hapo mwakani itakayofanyika nchini Qatar.

  2. Sababu kifo cha bondia Zimbambwe

    miguuni na mwili kukosa uratibu. Matukio kama hili la bondia kupoteza maisha kutokana na mchezo huo sio mengi, lakini ipo haja ya kuchunguza tukio na majibu kupatikana ili kuchukua hatua mathubuti...

  3. SPOTI DOKTA: Haya ndio madhara ya vitasa kwa mabondia

    ikiwamo huzuni kali. Tafiti mojawapo iliyowahi kuchapishwa na jarida la Science Daily uliofanywa na Chuo Kikuu cha Munich cha Ujerumani na Dk Hans Forstl ulionyesha kuwa asilimia 20 ya...

  4. SPOTI DOKTA: Mdamu ana nafasi kubwa kurejea tena uwanjani

    hiyo inashusha kinga ya mwili ambayo ni muhimu kipindi cha uponaji. Uimara wa mifupa ni muhimu kwa mwanamichezo, hivyo muhimu kushikamana na mambo haya ni kuzingatia ushauri wa daktari na mtaalamu...

  5. Ligi zimeanza Ulaya, Tutarajie majeraha haya

    ZILE Ligi Kuu Bora za Ulaya zinazopendwa duniani ikiwamo ya England (EPL), Hispania (La Liga), Ujerumani (Bundesliga), Ufaransa (Ligue-1) na Italia (Series A) zilianza kutimua vumbi mwishoni mwa...

  6. Majeraha ya misuli ya paja yatawala UEFA EURO

    FAINALI za Mataifa ya Ulaya (UEFA Euro) 2020 zimezidi kunoga baada ya kushuhudiwa nchi maarufu katika soka zikitolewa katika hatua ya 16-Bora ikiwamo nchi ya Ufaransa na Ureno ambazo zimeshindwa...

  7. Sababu za Real Madrid kumrudisha mtaalam huyu

    KATIKA mechi ya mwisho ya kumalizia Ligi Kuu Hispania maarufu kama La Liga, ilishuhudiwa Barcelona ikicheza Jumamosi dhidi ya Eibar bila kuwepo kwa mchezaji wake tegemeo, Lionel Messi.

  8. Bila Shin Guard haya yangewapata wanasoka!

    UGOKO ni moja ya eneo la mwili wa mwanasoka linalokumbana na majanga ya kujeruhiwa kutokana na sehemu hiyo ya mbele chini ya goti kuwa katika hatari ya kugongwa kirahsi wakati wa mchezo.

  9. Madaktari waonya kina Molinga kuongezeka uzito

    Kocha msaidizi wa timu ya soka ya Yanga, Charles Mkwasa, juzi alianika ripoti ya vipimo vya madaktari wa timu hiyo vinaonyesha kuwa baadhi ya wachezaji wameongezeka uzito akiwamo mshambuliaji...

  10. Tattoo za Wawa zina maana kubwa

    HUWEZI kuamini lakini huu ndio ukweli wa mambo kuwa, beki wa kati Muivory Coast Pascal Wawa mwili wake una tattoo zaidi ya 20 huku mwenyewe akifichua kwamba, kuna wakati husahau hata idadi kamili.

Previous

Page 14 of 15

Next