Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

7928 results for Mwandishi Wetu :

  1. Ukizungumza kwa kujiziba mdomo uwanjani, nyekundu

    RAIS wa FIFA, Gianni Infantino, amefichua kuwa wachezaji wanaweza kutolewa nje kwa kadi nyekundu endapo watainua jezi zao na kufunika midomo wanapozungumza na wachezaji wa timu pinzani.

    NYEKUNDU Pict
  2. Kompyuta yatoa msimamo EPL, Arsenal bado kidedea!

    SHUGHULI imeshakuwa nzito. Chelsea itakosa tiketi ya kucheza Ligi ya Mabingwa Ulaya msimu ujao kwa mujibu wa utabiri wa kompyuta maalumu, ambayo imefichua Liverpool ndiyo itakayomaliza kwenye...

    KOMPUTA Pict
  3. Slot aomba ufafanuzi penalti ya Man United

    KOCHA wa Liverpool, Arne Slot, ameitaka Ligi Kuu England kutoa ufafanuzi kuhusu kutokuwapo kwa uwiano katika maamuzi muhimu ya waamuzi, baada ya kulinganisha kadi nyekundu aliyoonyeshwa Maxence...

    SLOT Pict
  4. Kylian Mbappe ajifunza udereva

    SUPASTAA Kylian Mbappe ameonekana akipata mafunzo ya kuendesha gari katika shule ya mafunzo ya magari ya jirani huko Hispania.

    MBAPPE Pict
  5. Darwin Nunez anukia Chelsea, Newcastle pia ipo

    CHELSEA imeingia katika vita ya kutaka kumsajili mshambuliaji wa Al-Hilal ya Saudi Arabia na timu ya taifa ya Uruguay, Darwin Nunez, 26, kuelekea dirisha lijalo la majira ya kiangazi.

    FUNUNU Pict
  6. Carrick anasumbua vichwa Man United

    MICHAEL Carrick amejiandikisha jina lake katika vitabu vya historia vya Ligi Kuu England na kwa kufanya hivyo amewapa mabosi wa Manchester United presha kubwa juu ya kufanya uamuzi, apewe timu...

    CARRICK Pict
  7. Uwanja wa Mkapa kufungwa kupisha maandalizi AFCON 2027

    SERIKALI imetangaza kuufunga Uwanja wa Benjamin Mkapa kuanzia mwezi huu ili kupisha awamu ya mwisho ya ukarabati mkubwa, ikiwa ni sehemu ya maandalizi kuelekea michuano ya Kombe la Mataifa ya...

    KWA MKAPA Pict
  8. PRIME Haji Manara zilongwa mbali, zitendwa mbali

    Soma hapa

    PUMZI Pict
  9. Premier League yajishtukia, yafuta ujumbe wa kuikebehi Spurs

    UONGOZI wa Ligi Kuu ya England, umelazimika kufuta ujumbe katika mitandao ya kijamii ulioonekana kuifanyia dhihaka klabu ya Tottenham Hotspur baada ya kipigo cha mabao 2-1 dhidi ya Fulham, jana...

    PL Pict
  10. DJ Khaled anazidi kuukunja tu mkwanja

    WIKI iliyopita, msanii H Khaled Mohammed Khaled ‘DJ Khaled’ aliachia biadhaa yake ya shampoo ambayo ina uwezo wa kubadilisha nywele rangi kwa watumiaji.

    ATM Pict
Previous

Page 129 of 793

Next