Ukizungumza kwa kujiziba mdomo uwanjani, nyekundu RAIS wa FIFA, Gianni Infantino, amefichua kuwa wachezaji wanaweza kutolewa nje kwa kadi nyekundu endapo watainua jezi zao na kufunika midomo wanapozungumza na wachezaji wa timu pinzani.
Kompyuta yatoa msimamo EPL, Arsenal bado kidedea! SHUGHULI imeshakuwa nzito. Chelsea itakosa tiketi ya kucheza Ligi ya Mabingwa Ulaya msimu ujao kwa mujibu wa utabiri wa kompyuta maalumu, ambayo imefichua Liverpool ndiyo itakayomaliza kwenye...
Slot aomba ufafanuzi penalti ya Man United KOCHA wa Liverpool, Arne Slot, ameitaka Ligi Kuu England kutoa ufafanuzi kuhusu kutokuwapo kwa uwiano katika maamuzi muhimu ya waamuzi, baada ya kulinganisha kadi nyekundu aliyoonyeshwa Maxence...
Kylian Mbappe ajifunza udereva SUPASTAA Kylian Mbappe ameonekana akipata mafunzo ya kuendesha gari katika shule ya mafunzo ya magari ya jirani huko Hispania.
Darwin Nunez anukia Chelsea, Newcastle pia ipo CHELSEA imeingia katika vita ya kutaka kumsajili mshambuliaji wa Al-Hilal ya Saudi Arabia na timu ya taifa ya Uruguay, Darwin Nunez, 26, kuelekea dirisha lijalo la majira ya kiangazi.
Carrick anasumbua vichwa Man United MICHAEL Carrick amejiandikisha jina lake katika vitabu vya historia vya Ligi Kuu England na kwa kufanya hivyo amewapa mabosi wa Manchester United presha kubwa juu ya kufanya uamuzi, apewe timu...
Uwanja wa Mkapa kufungwa kupisha maandalizi AFCON 2027 SERIKALI imetangaza kuufunga Uwanja wa Benjamin Mkapa kuanzia mwezi huu ili kupisha awamu ya mwisho ya ukarabati mkubwa, ikiwa ni sehemu ya maandalizi kuelekea michuano ya Kombe la Mataifa ya...
Premier League yajishtukia, yafuta ujumbe wa kuikebehi Spurs UONGOZI wa Ligi Kuu ya England, umelazimika kufuta ujumbe katika mitandao ya kijamii ulioonekana kuifanyia dhihaka klabu ya Tottenham Hotspur baada ya kipigo cha mabao 2-1 dhidi ya Fulham, jana...
DJ Khaled anazidi kuukunja tu mkwanja WIKI iliyopita, msanii H Khaled Mohammed Khaled ‘DJ Khaled’ aliachia biadhaa yake ya shampoo ambayo ina uwezo wa kubadilisha nywele rangi kwa watumiaji.