Mechi za ubingwa Arsenal, Man City hesabu zipo hapa KATIKATI ya wiki hii, Arsenal iliweka katika nafasi nzuri zaidi ya kuchukua taji la Ligi Kuu England msimu huu, baada ya kuichapa Brighton & Hove Albion, wakati wapinzani wao Manchester City...
Nigeria yagonga mwamba, FIFA yatoa orodha ya mwisho Kombe la Dunia 2026 SHIRIKISHO la Soka la Kimataifa (FIFA) limetoa orodha ya mwisho ya mataifa yatakayochuana katika michuano ya mchujo ya mabara (inter-confederation play-offs), huku Jamhuri ya Kidemokrasia ya...
Rani Khedira kuitumikia Tunisia Kombe la Dunia 2026 KIUNGO wa Union Berlin ya Ujerumani, Rani Khedira, amethibitishwa rasmi kuitumikia timu ya taifa ya Tunisia, baada ya kupewa kibali cha mwisho na Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA) sambamba...
Aucho mambo safi Singida BS, rasmi arejea kazini UONGOZI wa Singida Black Stars, umetangaza kumsamehe kiungo wa timu hiyo, Khalid Aucho na kumrejesha kazini kuanzia leo Machi 5, 2026 baada ya kufanyika kwa majadiliano na tathmini ya kina...
Msako wa tiketi ya CAF WIKIENDI hii hatua ya 32 Bora katika Kombe la Shirikisho (FA) inakwenda kuchezwa baada ya ile ya 64 kumalizika huku tukishuhudia timu moja kati ya 16 za Ligi Kuu Bara ikitoka mapema.
Mechi tano zatibua mambo Mbeya City MWENENDO usioridhisha wa Mbeya City kwa sasa katika mechi za Ligi Kuu msimu huu, zimemweka kwenye wakati mgumu kocha wa timu hiyo, Mecky Maxime, huku presha ikizidi zaidi baada ya juzi kikosi...
Mashabiki wa Simba sasa wanapona KATIKA mchezo wa Ligi Kuu ya NBC, Dabi ya Kariakoo kati ya Yanga na Simba uliochezwa Jumapili iliyopita kwenye Uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar ilishuhudiwa watani hao wa jadi wakitoka...
Trump asema hajali Iran ikijitoa Kombe la Dunia 2026 RAIS wa Marekani, Donald Trump amesema hajali kama Iran itashiriki Kombe la Dunia 2026 au la, ambalo litaandaliwa kwa pamoja na Marekani, Mexico na Canada wakati wa majira yajayo ya kiangazi.
Guardiola anang’ata, anapuliza kuhusu kona PEP Guardiola amemwambia Arne Slot kwamba anapaswa kupambana na hali juu ya ongezeko la umuhimu wa mipira ya adhabu katika Ligi Kuu England huku akipiga kijembe Arsenal kwamba wamekuwa vinara wa...
Sakata mkataba mpya wa Bruno Man United KIUNGO wa boli, Bruno Fernandes hatatafuta uhakika wa kuhusu usajili wa mastaa wake kwenye kikosi cha Manchester United kwenye dirisha lijalo la majira ya kiangazi kabla ya kuamua mustakabali wake.