Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

7927 results for Mwandishi Wetu :

  1. Mechi za ubingwa Arsenal, Man City hesabu zipo hapa

    KATIKATI ya wiki hii, Arsenal iliweka katika nafasi nzuri zaidi ya kuchukua taji la Ligi Kuu England msimu huu, baada ya kuichapa Brighton & Hove Albion, wakati wapinzani wao Manchester City...

    UBUNGWA Pict
  2. Nigeria yagonga mwamba, FIFA yatoa orodha ya mwisho Kombe la Dunia 2026

    SHIRIKISHO la Soka la Kimataifa (FIFA) limetoa orodha ya mwisho ya mataifa yatakayochuana katika michuano ya mchujo ya mabara (inter-confederation play-offs), huku Jamhuri ya Kidemokrasia ya...

    NIGERIA Pict
  3. Rani Khedira kuitumikia Tunisia Kombe la Dunia 2026

    KIUNGO wa Union Berlin ya Ujerumani, Rani Khedira, amethibitishwa rasmi kuitumikia timu ya taifa ya Tunisia, baada ya kupewa kibali cha mwisho na Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA) sambamba...

    RANI Pict
  4. Aucho mambo safi Singida BS, rasmi arejea kazini

    UONGOZI wa Singida Black Stars, umetangaza kumsamehe kiungo wa timu hiyo, Khalid Aucho na kumrejesha kazini kuanzia leo Machi 5, 2026 baada ya kufanyika kwa majadiliano na tathmini ya kina...

    AUCHO Pict
  5. Msako wa tiketi ya CAF

    WIKIENDI hii hatua ya 32 Bora katika Kombe la Shirikisho (FA) inakwenda kuchezwa baada ya ile ya 64 kumalizika huku tukishuhudia timu moja kati ya 16 za Ligi Kuu Bara ikitoka mapema.

  6. Mechi tano zatibua mambo Mbeya City

    MWENENDO usioridhisha wa Mbeya City kwa sasa katika mechi za Ligi Kuu msimu huu, zimemweka kwenye wakati mgumu kocha wa timu hiyo, Mecky Maxime, huku presha ikizidi zaidi baada ya juzi kikosi...

  7. Mashabiki wa Simba sasa wanapona

    KATIKA mchezo wa Ligi Kuu ya NBC, Dabi ya Kariakoo kati ya Yanga na Simba uliochezwa Jumapili iliyopita kwenye Uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar ilishuhudiwa watani hao wa jadi wakitoka...

  8. Trump asema hajali Iran ikijitoa Kombe la Dunia 2026

    RAIS wa Marekani, Donald Trump amesema hajali kama Iran itashiriki Kombe la Dunia 2026 au la, ambalo litaandaliwa kwa pamoja na Marekani, Mexico na Canada wakati wa majira yajayo ya kiangazi.

  9. Guardiola anang’ata, anapuliza kuhusu kona

    PEP Guardiola amemwambia Arne Slot kwamba anapaswa kupambana na hali juu ya ongezeko la umuhimu wa mipira ya adhabu katika Ligi Kuu England huku akipiga kijembe Arsenal kwamba wamekuwa vinara wa...

  10. Sakata mkataba mpya wa Bruno Man United

    KIUNGO wa boli, Bruno Fernandes hatatafuta uhakika wa kuhusu usajili wa mastaa wake kwenye kikosi cha Manchester United kwenye dirisha lijalo la majira ya kiangazi kabla ya kuamua mustakabali wake.

Previous

Page 126 of 793

Next