Saka amerudi, Havertz, Ødegaard kuiwahi Atletico KOCHA wa Arsenal, Mikel Arteta ametoa taarifa za majeruhi kuelekea mchezo wa marudiano wa nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya Atletico Madrid, huku akiwapa matumaini mashabiki wake.
Lewandowski ataka pointi 100 Barcelona MSHAMBULIAJI wa FC Barcelona, Robert Lewandowski, amewapa changamoto wachezaji wenzake kuhakikisha wanafikia alama 100 katika msimamo wa La Liga baada ya ushindi muhimu dhidi ya CA Osasuna.
Salah: Henderson aagwe kwa heshima Anfield MSHAMBULIAJI wa Mohamed Salah ameibuka na ombi maalumu kwa mashabiki wa Liverpool kuhakikisha wanampa aliyekuwa nahodha wa timu hiyo, Jordan Henderson, kwaheri ya heshima anayostahili...
McTominay aambiwa ni ‘mchezaji wa kawaida’ Kiungo wa kati wa Scott McTominay ameingia kwenye mjadala mkali baada ya kupuuzwa na gwiji wa Serie A, licha ya msimu wake mzuri akiwa na Napoli, huku akishinda tuzo na kuingia kwenye orodha ya...
Liverpool yatua Napoli ikimtaka Beukema MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu England, Liverpool inadaiwa kuwasilisha ofa ya Napoli ili kumnunua beki wa kati wa kimataifa wa Uholanzi, Sam Beukema (27).
Manchester United, Liverpool kuwasha moto Old Trafford leo PATAKUWA hapatoshi Old Trafford pale ambapo vigogo wawili wa soka la England, Manchester United na Liverpool, watakutana leo, Jumapili katika Dabi ya Kaskazini-Magharibi kwenye Ligi Kuu ya...
Kwa nini Andoni Iraola anafaa EPL? KUFUATIA habari kwamba kocha Andoni Iraola ataondoka Bournemouth baada ya mkataba wake kuisha, masikio mengi yamekuwa makini kote katika Ligi Kuu England kujua anakokwenda.
LeBron aongoza balaa Lakers, ikiizika Rockets MSIMU wa Houston Rockets umefikia tamati kwa maumivu makubwa baada ya kufungwa vibaya kwa pointi 98-78 dhidi ya Los Angeles Lakers katika Game 6 ya raundi ya kwanza ya mchujo katika NBA.
Pedro kuziba pengo la Lewandowski Barcelona BARCELONA inamtazama mshambuliaji wa Chelsea na timu ya taifa ya Brazil, Joao Pedro, 24, kama mmoja kati ya mastaa inaotaka kuwasajili ili kuziba nafasi ya straika Robert Lewandowski mwenye umri...
Ishu ya majeraha Arsenal yamtesa Arteta KOCHA wa Arsenal, Mikel Arteta ameonekana kuchoshwa na wimbi la majeruhi linaloikumba timu hiyo, hali iliyomlazimu kuchukua hatua nzito na kuamua kumpa kazi mtaalamu maalum kuchunguza tatizo...