Mayele, Saido wagawana kiatu Fiston Mayele wa Yanga na Saido Ntibazonkiza kutoka Simba wote wamepewa tuzo ya mfungaji Bora wa Ligi Kuu Bara 2022/23. Mayele na Saido kila mmoja alifunga mabao 17 hivyo Kamati ya Tuzo ilikaa...
Hivi ndivyo Magufuli atakavyozikwa Ni huzuni na majonzi. Ndivyo unavyoweza kuizungumzia siku ya leo Ijumaa Machi 26, 2021 wakati Rais Samia Suluhu Hassan akiongoza viongozi wa Serikali, majeshi ya ulinzi na usalama, vyama vya...
Simba yapata pigo, Maalim Seif afariki dunia KLABU ya Simba imepata pigo baada ya kumpoteza mwanachama wake na aliyekuwa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad aliyefariki dunia leo saa 5 asubuhi katika Hospitali ya...
Yanga yagomea chumba cha kubadilishia nguo Kwa Mkapa Muda mfupi baada ya Yanga kuwasili katika Uwanja wa Mkapa, wamelazimika kugomea kuingia kwenye chumba cha kubadilishia nguo. Maofisa wa Yanga waliotangulia kukagua chumba hicho walionekana...
Saka: Arsenal kila siku inaonewa STAA wa Arsenal, Bukayo Saka ametoa maneno makali dhidi ya VAR baada ya Arsenal kunyimwa penalti kipindi cha kwanza, licha ya faulo ambayo straika wao, Viktor Gyokeres alifanyiwa na kipa wa...
Ange Postecoglou anatajwa tajwa huko Celtic ANGE Postecoglou ametajwa kuwamo kwenye orodha ya makocha wanaopewa kipaumbele kwenda kuinoa Celtic baada ya Brendan Rodgers kuachia ngazi.
Okoth wa Mathare aiumiza Shabana Mshambuliaji wa Mathare United, Dennis Okoth, aliiumiza timu yake ya zamani Shabana FC baada ya kufunga bao pekee katika ushindi wa 1-0 katika mechi ya Ligi Kuu ya Soka Kenya (FKF Premier League)...
Paddy Kenny amwita Rooney ulingoni LEJENDI wa Manchester United, Wayne Rooney amealikwa katika pambano la ngumi na kipa wa zamani wa Sheffield United, Paddy Kenny.
Kocha Liverpool afichua udhaifu wa kikosi chake KOCHA wa Liverpool, Arne Slot amefunguka udhaifu wa kikosi chake kinachofanya timu hiyo kutaabika kwenye baadhi ya mechi za msimu huu.
Lionel Messi bado yupo yupo sana tu SUPASTAA, Lionel Messi amesaini mkataba mpya wa kuendelea kuitumikia Inter Miami kwenye MLS hadi atakapokuwa na umri wa miaka 41.