Pep Guardiola atishia kung’atuka Man City PEP Guardiola ameonya ataondoka Manchester City iwapo klabu hiyo haitapunguza idadi ya wachezaji kipindi cha majira ya joto.
Bellingham kupasuliwa bega NYOTA wa Real Madrid, Jude Bellingham anatarajiwa kufanyiwa upasuaji wa bega baada ya mashindano ya Kombe la Dunia la Klabu, hatua ambayo huenda ikamweka nje ya uwanja kwa miezi kadhaa.
PRIME Soka la kisasa lilivyohamia kwenye maroboti PATRICE Latyr Evra. Beki wa kushoto wa zamani wa klabu kibao vigogo huko Ulaya kama AS Monaco, Manchester United, Juventus kwa kuzitaja kwa uchache pamoja na timu ya taifa ya Ufaransa, amekiri...
De Bruyne kwenye mjadala wa Gerrard, Lampard na Scholes KIUNGO fundi wa boli, Kevin De Bruyne ataachana na Manchester City mwishoni mwa msimu huu wa 2024-25, wakati mkataba wake utakapofika ukomo huko Etihad.
Slot aachiwa Florian Wirtz mwenyewe tu KOCHA wa Liverpool, Arne Slot amepata nguvu mpya kwenye msako wao wa kumnasa kiungo mshambuliaji, Florian Wirtz baada ya Manchester City kujiondoa kwenye mchakato huo.
Eti kocha Arteta hatoboi Krismasi Hiyo ni kwa mujibu wa gwiji wa klabu hiyo, Paul Merson, ambaye alisema kitu ambacho kitamwokoa kocha huyo asionyeshwe mlango wa kutokea msimu ujao itakapofika Krismasi kama tu Arsnal itakuwa...
JKT Queens yaivua Simba Queens ubingwa WPL JKT Queens imefanikiwa kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu Soka Wanawake (WPL) msimu huu wa 2024/2025 baada ya leo Mei 20,2025 kuibuka na ushindi wa mabao 5-0 dhidi ya Gets Program.
Cunha mambo freshi Manchester United MSHAMBULIAJI wa Wolvelvehamton Wolverhampton Wanderers na timu ya taifa ya Brazil, Matheus Cunha huenda akajiunga na Manchester United baada ya msimu huu kumalizika.
Mastaa wa kuokota Ligi Kuu England KLABU za Ligi Kuu England zitakuwa bize kwenye dirisha lijalo la uhamisho wa majira ya kiangazi, huku kukitarajiwa kuwapo na dili kibao za wachezaji wa bei chee.
Mastaa wa Man United washona suti za ubingwa WEITA ongeza glasi. Ndivyo shangwe litakavyokuwa kwa mashabiki wa timu ambayo itakuwa imeshinda kati ya Manchester United na Tottenham Hotspur zitakazokutana kwenye fainali ya Europa League usiku...