Knicks yaweka rekodi NBA TIMU ya New York Knicks imebakiza ushindi mmoja tu kutwaa ubingwa wa NBA kwa mara ya kwanza tangu mwaka 1973 baada ya kufanya moja ya marejeo makubwa zaidi katika historia ya Fainali za NBA na...
West Ham yawatema 10 WEST Ham United imetangaza kuachana na wachezaji 10 kufuatia kushuka daraja kutoka Ligi Kuu ya England kwenda Championship.
Infantino apuuzia utata, akimtetea Trump Kombe la Dunia 2026 Ukimsikiliza Rais wa FIFA, Gianni Infantino, unaweza kudhani utata uliozunguka Kombe la Dunia 2026 katika siku za hivi karibuni haukuwa jambo kubwa.
Kombe la Dunia la mikeka Kombe la Dunia la FIFA linatarajiwa kuwa tukio kubwa zaidi la kamari katika historia, huku zaidi ya dola 50 bilioni za Marekani zikitarajiwa kuwekwa kwenye dau duniani kote.
Harry Kane ataja wabaya wa England ENGLAND haijashinda Kombe la Dunia la FIFA katika kipindi cha miaka 60 iliyopita. Mara yao ya kwanza na mwisho kutwaa taji hilo ilikuwa mwaka 1966 walipokuwa wenyeji wa mashindano hayo.
Timu 48, mechi 104: Safari ya Kombe la Dunia 2026 kuaanza leo Pazia la Fainali za Kombe la Dunia 2026 linafunguliwa rasmi leo kwa mchezo baina ya wenyeji Mexico dhidi ya Afrika Kusini utakaochezwa kwenye Uwanja wa Azteca, kuanzia saa 4:00 usiku kwa muda wa...
Mwakinyo afunguka sababu za kupoteza pambano la IBO Bondia nyota wa Tanzania, Hassan Mwakinyo, amesema udhaifu wa mwili na kushindwa kucheza katika kiwango chake cha kawaida ndiyo sababu kubwa iliyochangia kupoteza pambano lake la kuwania mkanda...
Mechi 10 usizopaswa kuzikosa Kombe la Dunia KWA kuwa kutakuwa na michezo mingi katika makundi 12 ya Kombe la Dunia 2026 kabla ya kufika hatua ya mtoano, hizi hapa ni 10 ambazo inafaa uhakikishe kwamba huzikosi walau kutupia jicho lako...
Tahadhari kali kwa mashabiki wanaosafiri Kombe la Dunia MASHABIKI wa soka watakaosafiri kwenda kushuhudia Kombe la Dunia 2026 nchini Marekani wametakiwa kubeba pasipoti muda wote kutokana na uwezekano wa kusimamishwa na maofisa wa Uhamiaji wa Marekani...
Makocha wakabiliwa na uamuzi mgumu ya vikosi Kombe la Dunia HOMA ya Kombe la Dunia sasa imeikumba dunia huku timu kutoka nchi 48 zikiwa njiani au ndani ya Marekani, Mexico na Canada kwa ajili ya mashindano makubwa zaidi kuwahi kuandaliwa na Shirikisho la...