Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

8663 results for Mwandishi :

  1. Chelsea kufungulia geti mastaa sita

    CHELSEA itawafungulia mlango wa kutokea mastaa kibao wa Chelsea dirisha la Januari baada ya kuripotiwa wachezaji wasiopungua sita wataondoka Stamford Bridge.

    CHELSEA Pict
  2. He! Eti Ugarte ana gundu

    KIUNGO wa Manchester United, Manuel Ugarte amedaiwa kwamba ndiye gundu kubwa kwenye kikosi hicho wakati inachapwa na Aston Villa uwanjani Villa Park, Jumapili iliyopita

    UGATE Pict
  3. Redknapp ampiga kijembe Gyokeres

    STAA wa zamani wa Ligi Kuu England, Jamie Redknapp amempiga kijembe straika wa Arsenal, Viktor Gyokeres akidai kwamba hana uwezo wa kucheza kwenye kikosi cha The Gunners licha ya kwamba...

    GYOKERES Pict
  4. Kura kuamua hatima ya Rashford Barcelona

    NOMA sana. Mashabiki wa Barcelona wamepiga kura kuamua kama mshambuliaji Marcus Rashford asajiliwe jumla au miamba hiyo ya Nou Camp aiachane naye tu aondoke mkopo wake ukimalizika.

    RASHFORD Pict
  5. Adingra asononeka kukosa Afcon 2025

    STAA wa Ivory Coast, Simon Adingra amefunguka juu ya huzuni yake ya kuwekwa kando katika kikosi cha Tembo kinachoshiriki mashindano ya Afcon 2025 huko Morocco.

    ADINGRA Pict
  6. Gwiji England amshauri Viktor Gyokeres

    GARY Lineker amemtaka straika wa Arsenal, Viktor Gyokeres kujifunza kwa Dominic Calvert-Lewin wakati huu akiendelea kuzoea mazingira ya Ligi Kuu England.

    GYOKERES Pict
  7. Isak haijulikani atarudi lini dimbani

    STRAIKA Alexander Isak amefanyiwa upasuaji baada ya kuvunjika mfupa wa mguu katika mechi dhidi ya Tottenham.

  8. Kocha Chipolopolo azuiwa Afcon 2025, sababu yatajwa

    Siku tatu kabla ya kuanza kwa Fainali za Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025 huko Morocco, Zambia imepata pigo baada ya Kocha wake Mkuu, Moses Sichone kuzuiwa na Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika...

    SICHONE Pict
  9. Fainali Mapinduzi Cup 2026 kuchezwa Pemba

    WAKATI michuano ya Kombe la Mapinduzi 2026 ikitarajiwa kuanza Desemba 28, 2025 kwenye Uwanja wa New Amaan Complex kisiwani Unguja, imeelezwa kwamba fainali itapigwa Pemba.

    MAPINDUZI Pict
  10. Spurs waambiwa mpeni kazi Klopp

    ALIYEKUWA mmiliki wa Tottenham Hotspur, Lord Alan Sugar amewataka mabosi wa sasa wa timu hiyo kumwajiri kocha Jurgen Klopp ili kwenda kukinoa kikosi hicho.

Previous

Page 115 of 867

Next