Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

7923 results for Mwandishi Wetu :

  1. Senegal yapokea maamuzi ya CAF, yapinga, yapanga kwenda CAS

    Shirikisho la Soka la Senegal (FSF) limethibitisha kupokea uamuzi uliotolewa na Kamati ya Rufaa ya CAF kuhusu kupokwa ubingwa wa Kombe la Mataifa la Afrika 2025

  2. Dogo Bayern kuandika historia Ulaya

    LEONARD Prescott anatarajiwa kuandika historia atakaposimama langoni leo, Bayern Munich itakapoikaribisha Atalanta kwenye Uwanja wa Allianz Arena, Ujerumani kuanzia saa 5:00 usiku.

  3. Bundi bado ainyemelea Chelsea

    CHELESEA inatarajiwa kukabiliana na adhabu zaidi kutoka mamlaka za soka za England kutokana na uchunguzi unaofanywa na chama cha Soka England (FA).

  4. Sita watajwa kumrithi Slot Liverpool

    HALI siyo hali Anfield na Kocha Arne Slot amekalia kuti kavu huku baadhi ya majina yakitajwa kuja kurithi mikoba yake kwa kile kinachoelezwa wakati wowote anapigwa chini Liverpool.

  5. Malipo ya siri yaiponza Chelsea yafungiwa mwaka mmoja

    LIGI Kuu England imekamilisha uchunguzi juu ya malipo ya siri yaliyofanywa na Chelsea kati ya 2011 na 2018 wakati Roman Abramovich alipokuwa mmiliki wa klabu hiyo yenye maskani yake London.

  6. Iran yajadiliana na FIFA kuhamishia mechi nje Marekani

    Iran imesema iko kwenye mazungumzo na FIFA kuhusu uwezekano wa kucheza mechi zake za Kombe la Dunia nje ya Marekani, baada ya Donald Trump kuionya timu hiyo kukaa mbali na nchi hiyo wiki iliyopita.

  7. Simba, Yanga zagawana tuzo za kocha, mchezaji bora Februari

    MSHAMBULIAJI wa Yanga Laurindo Dilson 'Depu' amechaguliwa kuwa mchezaji Bora wa mwezi Februari wa Ligi Kuu ya NBC msimu wa mwaka 2025/26, huku kocha wa Simba, Steve Barker akichaguliwa kuwa Kocha...

  8. Marcus karibu kutua FC Barcelona

    MARCUS Rashford yupo karibu kukubaliana na masharti ya kujiunga na Barcelona kwa mkataba wa kudumu msimu ujao wa majira ya joto, lakini mazungumzo kati ya klabu hizo bado hayajakamilika.

  9. Sare ya Liverpool, mashabiki wamshambulia Arne Slot

    UAMUZI wa kushangaza wa kimkakati wa kocha Arne Slot huku Liverpool wakijikuta wakiteleza kwa sare dhidi ya Tottenham Hotspurs kwenye Ligi Kuu England, umepokelewa kwa hisia tofauti na mashabiki...

  10. VAR ilivyoiminya Man United EPL

    MASHABIKI wa Manchester United wamekasirishwa na kitendo cha teknolojia ya video inayomsaidia mwamuzi (VAR) kukubali bao la kusawazisha la Ross Barkley katika mchezo dhidi ya Aston Villa...

Previous

Page 114 of 793

Next