Grealish kujinoa kivyake Etihad JACK Grealish ameripotiwa kukubali kufanya mazoezi kivyake wakati huu akijiandaa na mpango wa kuachana na Manchester City kwenye dirisha hili la majira ya kiangazi.
Staa NBA ataja timu mpya ya Ronaldo STAA wa NBA Giannis Antetokounmpo anayeichezea, Milwaukee Bucks na timu ya taifa ya Kikapu ya Ugiriki ametoa ushauri wa uhamisho kwa mshambuliaji wa Al Nassr na timu ya taifa ya Ureno...
Kinachokwamisha dili la Wirtz Anfield NYOTA wa kimataifa wa Bayer Leverkusen, Florian Wirtz 22, tayari amefikia makubaliano na mabingwa wa Ligi Kuu England, Liverpool, lakini changamoto inatajwa kuwa ni ada ya uhamisho.
Jobe Bellingham kufuata nyayo za kaka yake MABOSI wa Borussia Dortmund wana imani kuwa wameshinda mbio za kumsajili kiungo wa kati wa Sunderland, Jobe Bellingham ambaye ni mdogo wake Jude Bellingham anayekipiga Real Madrid.
Arsenal, Liverpool ‘big no’ kwa Alvarez MABOSI wa Atletico Madrid wameeleza kuwa straika wa timu hiyo, Julian Alvarez ataendelea kusalia kuwa mchezaji wao msimu ujao licha ya timu kadhaa za Ligi Kuu England kutaka kumsajili.
Ancelotti anatoka, Alonso anaingia MABOSI wa Real Madrid wanajiandaa kumtangaza kocha wa Bayer Leverkusen, Xabi Alonso kuwa bosi mpya wa Bernabeu.
Ghafla Casemiro kapindua meza KIUNGO wa Kibrazili, Casemiro huenda akacheza na kumalizia maisha yake ya kisoka kwenye kikosi cha Manchester United baada ya kurudi kwenye kiwango bora kabisa chini ya Kocha Ruben Amorim.
Liverpool yabeba ubingwa EPL ikiisulubu Totenham Imeisha hiyo. Ndivyo unavyoweza kusema baada ya Liverpool kuibamiza Totenham Hotspur kwa mabao 5-1 katika mchezo uliopigwa kwenye Uwanja wa Anfield na kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu England (EPL).
Nusu fainali CWC... Tiketi bei chini kuliko glasi ya bia TIKETI kwa ajili ya kipute cha nusu fainali ya Kombe la Dunia la Klabu kati ya Chelsea na Fluminense kitakachopigwa Jumanne zimeshuka na mashabiki wa huko Marekani watakuwa na uwezo wa kuangalia...
Simba yafuata kiungo Mali KATIKA kuimarisha eneo la kiungo, Simba imeanza harakati mapema za kulijenga eneo hilo ambalo tayari kuna nyota wanne wameshaondoka baada ya msimu wa 2024-2025 kumalizika.