Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

8657 results for Mwandishi :

  1. Refa aliyetimuliwa EPL, ageuka usafirishaji mizigo

    MWAMUZI wa zamani wa Ligi ya England, David Coote ameonekana akifanya kazi ya kusafirisha mizigo ikiwa ni miezi kadhaa tangu aondolewe katika orodha ya waamuzi.

  2. Arne Slot akatisha likizo kisa Cherki

    KOCHA wa Liverpool, Arne Slot ameripotiwa kukatisha likizo ili kukutana na Rayan Cherki kumshawishi atue Anfield.

  3. Sasii afungiwa miezi sita, Fadlu, Sowah nao yawakuta

    Mwamuzi Herry Sasii amekumbana na adhabu Kali, baada ya kufungiwa miezi sita kwa makosa ya kushindwa kutafsiri Sheria kwenye mchezo kati ya Simba na Singida Black Stars.

  4. Thomas Partey asepa zake Arsenal

    NDO hivyo. Kiungo, Thomas Partey ameondoka kwenye klabu ya Arsenal baada ya mkataba wake kufika ukomo, jana Jumatatu, imeripotiwa.

    PARTEY Pict
  5. Man United yapewa masharti kwa Mbeumo

    BRENTFORD imeiambia Manchester United inapaswa kulipa Pauni 65 milioni kama kweli inamtaka Bryan Mbeumo kinyume cha hapo, fowadi huyo atabaki, haendi kokote.

  6. Beki Borussia awazia kipute cha Madrid

    WAKATI Real Madrid ikijiandaa sasa kwa mechi ya robo fainali ya Kombe la Dunia la Klabu, beki wa Borussia Dortmund, ambao watakuwa wapinzani wao kwenye hatua hiyo, Yan Couto amekiri kwamba siku...

  7. Caicedo awatoa jasho Chelsea

    BENCHI la ufundi la Chelsea limebaki kwenye presha kubwa ya wasiwasi wa hali ya kiungo wake Moises Caicedo ambaye aliumia kwenye mechi ya nusu fainali ya Kombe la Dunia la Klabu dhidi ya...

  8. Lamine Yamal apewa namba 10

    LAMINE Yamal amekabidhiwa jezi Namba 10 baada ya kusaini mkataba mpya wa miaka sita kwenye klabu ya Barcelona licha ya kukabiliwa na kasheshe la kuajiri mbilikimo kwenda kutumbuiza sherehe za...

    LAMINE Pict
  9. Gyokeres aaanza kuhamisha vitu

    ARSENAL ipo kwenye hatua za mwisho za kukamilisha dili la Pauni 69 milioni la kumsajili straika Viktor Gyokeres baada ya gari la kuhamisha vyombo kuonekana mbele ya nyumba ya staa huyo huko...

    GYOKERES Pict
  10. Elanga amshawishi Isak abaki, asiondoke

    ANTHONY Elanga anapambana kumshawishi straika Alexander Isak asiondoke Newcastle United abaki hapo ili wapige mzigo wakiwa pamoja msimu ujao.

    ELANGA Pict
Previous

Page 108 of 866

Next