Refa aliyetimuliwa EPL, ageuka usafirishaji mizigo MWAMUZI wa zamani wa Ligi ya England, David Coote ameonekana akifanya kazi ya kusafirisha mizigo ikiwa ni miezi kadhaa tangu aondolewe katika orodha ya waamuzi.
Arne Slot akatisha likizo kisa Cherki KOCHA wa Liverpool, Arne Slot ameripotiwa kukatisha likizo ili kukutana na Rayan Cherki kumshawishi atue Anfield.
Sasii afungiwa miezi sita, Fadlu, Sowah nao yawakuta Mwamuzi Herry Sasii amekumbana na adhabu Kali, baada ya kufungiwa miezi sita kwa makosa ya kushindwa kutafsiri Sheria kwenye mchezo kati ya Simba na Singida Black Stars.
Thomas Partey asepa zake Arsenal NDO hivyo. Kiungo, Thomas Partey ameondoka kwenye klabu ya Arsenal baada ya mkataba wake kufika ukomo, jana Jumatatu, imeripotiwa.
Man United yapewa masharti kwa Mbeumo BRENTFORD imeiambia Manchester United inapaswa kulipa Pauni 65 milioni kama kweli inamtaka Bryan Mbeumo kinyume cha hapo, fowadi huyo atabaki, haendi kokote.
Beki Borussia awazia kipute cha Madrid WAKATI Real Madrid ikijiandaa sasa kwa mechi ya robo fainali ya Kombe la Dunia la Klabu, beki wa Borussia Dortmund, ambao watakuwa wapinzani wao kwenye hatua hiyo, Yan Couto amekiri kwamba siku...
Caicedo awatoa jasho Chelsea BENCHI la ufundi la Chelsea limebaki kwenye presha kubwa ya wasiwasi wa hali ya kiungo wake Moises Caicedo ambaye aliumia kwenye mechi ya nusu fainali ya Kombe la Dunia la Klabu dhidi ya...
Lamine Yamal apewa namba 10 LAMINE Yamal amekabidhiwa jezi Namba 10 baada ya kusaini mkataba mpya wa miaka sita kwenye klabu ya Barcelona licha ya kukabiliwa na kasheshe la kuajiri mbilikimo kwenda kutumbuiza sherehe za...
Gyokeres aaanza kuhamisha vitu ARSENAL ipo kwenye hatua za mwisho za kukamilisha dili la Pauni 69 milioni la kumsajili straika Viktor Gyokeres baada ya gari la kuhamisha vyombo kuonekana mbele ya nyumba ya staa huyo huko...
Elanga amshawishi Isak abaki, asiondoke ANTHONY Elanga anapambana kumshawishi straika Alexander Isak asiondoke Newcastle United abaki hapo ili wapige mzigo wakiwa pamoja msimu ujao.