Mtoto wa Buffon kuchezea Jamhuri ya Czech MTOTO wa kipa mashuhuri wa Italia, Gianluigi Buffon, Louis amechagua kuitumikia Jamhuri ya Czech kwenye soka la kimataifa badala ya Azzurri, ambayo aliitumikia baba yake.
Bayern Munich macho kwa Martinelli BAYERN Munich imeonyesha dhamira ya dhati ya kunasa saini ya winga wa Arsenal, Gabriel Martinelli.
Rupia kidogo tu asepe Singida Black Stars MSHAMBULIAJI wa Singida Black Stars, Mkenya Elvis Rupia amesema ilibaki kidogo tu aondoke dirisha dogo la usajili la Januari baada ya kutoridhishwa na baadhi ya mambo japo kwa sasa kila kitu kipo...
He! Mabosi Sporting wamtibua Gyokeres STRAIKA wa mabao, Viktor Gyokeres ameripotiwa kuwakasirikia mabosi wa Sporting Lisbon baada ya kufanya mabadiliko kwenye kipengele kinachotaja bei anayouzwa mshambuliaji huyo.
Mashabiki wasusia gemu ya Chelsea CHELSEA imetupa kete ya kwanza kwenye fainali za Kombe la Dunia la Klabu huko Marekani dhidi ya Los Angeles FC usiku wa Jumatatu ikicheza kwenye uwanja wenye siti tupu kibao huko Atlanta.
Mkali wa Black Panther kuja kufundisha kuogelea KOCHA maarufu wa mchezo wa kuogelea duniani, Atiba Hasim-Nii Wade kutoka Marekani anatarajiwa kutua nchini ili kuendesha mafunzo ya mchezo huo kuanzia Juni 27 hadi Julai Mosi.
Spurs yainyatia Chelsea kwa Simons KITENDO cha Chelsea kuchelewa kukamilisha usajili wa kiungo wa RB Leipzig, Xavi Simons kunaweza kufungua fursa kwa Tottenham kuingilia dili hilo na kufanya uhamisho wa dakika za mwisho.
Garnacho: Kama sio Chelsea, sichezi ALEJANDRO Garnacho ametuma ujumbe mzito huko Manchester United juu ya hatima yake kwenye mchezo wa soka.
Vurugu za usajili wakati dirisha likifungwa Ulaya LONDON, ENGLAND: DIRISHA la usajili wa majira ya kiangazi huko Ulaya limefungwa rasmi, ambapo klabu mbalimbali hasa za Ligi Kuu England zilikuwa bize kwelikweli kusajili mastaa wapya kwenye...
Isak afunguka kutua Anfield STRAIKA Alexander Isak amesema isingekuwa rahisi kukomea nafasi ya kujiunga na Liverpool kwa ada inayovunja rekodi ya uhamisho England huku akitambua hilo limefikisha mwisho wasiwasi uliokuwa...