Bondia afariki baada ya miaka 11 ya kupambania uhai BONDIA maarufu wa Puerto Rico, Prichard Colón, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 33, Alhamisi ya Agosti 13, 2026. Kifo chake kimethibitishwa na baba yake, Richard Colón, kupitia mitandao ya...
Hakuna kulala, Ulaya yachangamka WAKATI Ligi Kuu England ikiwa imebakiza wiki moja kuanza, ligi nyingine kubwa barani Ulaya tayari zinaanza kutimua vumbi msimu huu.
Trey Songz awataka vijana kutokata tamaa MSANII maarufu wa R&B kutoka Marekani, Trey Songz, amewataka vijana wa Tanzania kutokata tamaa katika kufuatilia ndoto zao, akisisitiza kuwa kujiamini, ubunifu na uvumilivu ni msingi wa...
Arsenal yamgeukia Victor Osimhen Arsenal inataraji kukutana na upinzani katika harakati zake za kumsajili mshambuliaji wa Galatasaray, Victor Osimhen, iwapo itaamua kuendelea na mpango wa kumnasa nyota huyo.
Roc Nation ya Jay-Z yatikisa soko la usajili Ulaya ROC Nation Sports ya Jay-Z inaanza taratibu kutikisa soko la usajili wa wachezaji Ulaya ikiwa tayari na mastaa wa soka, Vinicius Junior na Yan Diomande kati ya wachezaji zaidi ya 100...
Ronaldo aonyesha pete ndoa mazoezini MSHAMBULIAJI Cristiano Ronaldo akiwa na pete yake ya ndoa mkononi amepokea mapokezi ya upendo kutoka kwa wachezaji wenzake wa Al-Nassr baada ya kurejea kambini kufuatia kufunga ndoa na Georgina...
Maboresho ya kanuni na kanuni mpya toleo la 2026 MASHABIKI wa soka nchini na klabu za Ligi Kuu Bara, zinapaswa kukaa mkao wa kula! Hii ni baada ya Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) kuja kivingine kupitia Maboresho ya Kanuni za Toleo la 2026...
Mchezaji afariki dunia baada ya kuanguka uwanjani MCHEZAJI wa Katsina United, Chinedu Ozor, amefariki dunia baada ya kuanguka ghafla uwanjani wakati wa mchezo wa maandalizi ya msimu dhidi ya Niger Tornadoes uliochezwa Jumanne mjini Katsina...
Malaga yafunga penalti goli tupu baada ya Fulham kutoka Uwanjani MCHEZO wa kirafiki kati ya Malaga na Fulham ulimalizika kwa tukio la kushangaza leo, Jumatano, baada ya Malaga kupiga penalti kwenye goli tupu wakati wachezaji wa Fulham wakitoka uwanjani.
400 kushiriki mbio za baiskeli TANZANIA imefungua ukurasa mpya katika mchezo wa baiskeli baada ya Vodacom Tanzania kwa kushirikiana na Chama cha Baiskeli Tanzania (CHABATA), kuzindua mashindano mapya ya Vodacom Coastal Classic...