Mstaafu Fury aachia video ikiacha utata TYSON Fury bado anaendelea kuweka mwili wake fiti huku mashabiki wa ngumi wakisubiri kwa hamu kurejea kwake ulingoni.
PRIME Mshahara mpya wa Azizi Ki kufuru tupu DILI la kiungo mshambuliaji wa Yanga, Stephane Aziz KI, kwenda Wydad Casablanca ya Morocco, limezidi kuutunisha mfuko wake kutokana na kile ambacho atakuwa akilipwa kwa mwezi.
Simba yataja mambo matatu fainali kupigwa Zanzibar Simba imetamba kuwa haina hofu yoyote kucheza mechi katika Uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar ikiwa ni siku moja baada ya kuwatangazia mashabiki wake kuwa mechi yake ya fainali ya Kombe la...
Kete ya mwisho WPL leo, matokeo kuamua bingwa MZUNGUKO wa mwisho wa Ligi Kuu ya Wanawake (WPL) msimu wa 2024-2025 unahitimishwa leo Mei 20, 2025 kwa mechi tano kuchezwa huku Mlandizi Queens na Gets Program zikiwa tayari zimeshuka daraja.
Lamine Yamal anavyofukuzia rekodi ya kipekee Ballon d’Or FUNDI wa boli na kinda wa Barcelona, Lamine Yamal amekuwa akitajwa kama mmoja wa wachezaji wanaopewa nafasi kubwa ya kushinda tuzo ya Ballon d’Or mwaka huu wa 2025.
Tajiri Man United amtega Amorim MMILIKI mwenza wa Manchester United, bilionea Sir Jim Ratcliffe yupo tayari kumpatia kila kitu kocha Ruben Amorim ili kuibadili timu hiyo lakini anachotaka ni uhakika kwamba Mreno huyo anabaki.
Arteta aondolewa benchi Arsenal KOCHA wa Arsenal, Mikel Arteta hatakuwapo kwenye benchi la ufundi la timu hiyo katika mchezo wa mwisho wa Ligi Kuu England msimu huu kutokana na kutumikia adhabu ya kadi tatu za njano.
Hawa wapo kwenye hatari ya kukosa Kombe la Dunia 2026 FAINALI za Kombe la Dunia 2026 zimebakiza mwaka mmoja tu kuanza, lakini utashangaa kuna nchi kadhaa zenye majina makubwa ambazo zimezoeleka kucheza michuano hiyo zinaweza kushindwa kukipiga huko...
PRIME Yanga SC yajifungia na Sowah Dar WAKATI Yanga ikianza maisha mapya bila kiungo mshambuliaji, Stephane Aziz KI anayedaiwa anajidaa kwenda Wydad Casablanca ya Morocco, mabosi wa klabu hiyo wamepiga hesabu kali za kuboresha kikosi...
Guardiola kubeba wawili kwa Pauni 180 milioni NDO hivyo. Manchester City ipo tayari kutumia Pauni 180 milioni ili kuwanasa Florian Wirtz na Tijjani Reijnders kabla ya kuanza kwa fainali za Kombe la Dunia la Klabu mwezi ujao.