Kaseke: Pamba Jiji mechi moja tu freshi KIUNGO mshambuliaji wa Pamba Jiji, Deus Kaseke amesema kwa hali ilivyo kwa timu hiyo inahitaji ushindi wa mechi moja tu kati ya mbili ilizonazo ili kubaki Ligi Kuu Bara kwa msimu ujao.
PRIME Kocha Simba afichua walivyofurahia Azizi Ki kutimka KITENDO cha Aziz KI kukubali dili la kutua Wydad, atakuwa anaweka kwenye waleti mshahara wa Sh72.3 milioni kwa mwezi. Ni mara mbili ya aliokuwa akilipwa Yanga.
PRIME Saa mbili nzito za Fadlu, wachezaji waazimia haya KIKOSI cha Simba kimeshatinga visiwani Zanzibar tayari kwa maandalizi ya mechi ya pili ya fainali za Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya RS Berkane ya Morocco, lakini kabla ya kuondoka jijini Dar...
Chukwu mipango imetimia Singida BS KIUNGO wa Singida Black Stars, Morice Chukwu raia wa Nigeria, amesema mipango ya klabu hiyo msimu huu inaendelea kutimia, huku akipiga hesabu za kimataifa mapema.
PRIME Kitakachomtokea Pacome Yanga baada ya Aziz KI kuondoka KUONDOKA kwa Stephane Azizi Ki Yanga kumeibua jambo kwa staa wa timu hiyo, Pacome Zouzoua.
CAF yampa mzuka Ouma Singida Black Stars KOCHA wa Singida Black Stars raia wa Kenya, David Ouma amesema kitendo cha kupata tiketi ya kushiriki michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika msimu ujao, kwao kama benchi la ufundi, viongozi na...
Yao afanyiwa upasuaji Tunisia YANGA imefanya uamuzi mgumu wa kumpeleka beki wa kulia, Yao Kouassi kufanyiwa upasuaji kutokana na tatizo la muda mrefu alilonalo la goti lililomuweka nje ya uwanja.
KIBADENI: Simba ikikaza, inabeba ndoo! MIAKA imepita, lakini rekodi ya kocha Abdallah 'King' Kibadeni, ya kuwa kocha mzawa aliyewahi kuifikisha Simba katika fainali ya Kombe la CAF 1993 haijavunjwa.
Kibadeni: Haikuwa rahisi kufika fainali 1993 TAKRIBAN miaka 32 imepita tangu Simba ilipocheza fainali ya Kombe la CAF mwaka 1993 wakati ambao Kocha Mkuu alikuwa Abdallah Kibadeni ‘King’, wakati timu hiyo leo itashuka tena uwanjani kucheza...
PRIME Simba, Musonda kuna kitu MAMBO ni moto na muda ni mchache. Simba itakuwa Morocco kukipiga na RS Berkane katika mechi inayotarajiwa kuwa ngumu na yenye hisia tofauti ya Kombe la Shirikisho Afrika, kwani wiki ijayo itakuwa...