Ambokile aitega Mbeya City STRAIKA wa Mbeya City, Eliud Ambokile amesema pamoja na kufanikiwa kuirejesha timu hiyo katika Ligi Kuu, bado hana uhakika wa kuendelea kuwepo kikosini humo, huku akichekelea rekodi aliyoiweka...
Mbeya yasuka mipango ya kurejesha nne Bara CHAMA cha Soka Mkoa wa Mbeya (Mrefa) kimesema kupoteza timu tatu zilizokuwa Ligi Kuu si jambo la kufumbia macho, bali inahitaji mkakati wa pamoja kurejesha heshima ya mkoa huo.
Kipa Kagera Sugar akiri walichemsha mapema KIPA wa Kagera Sugar, Ramadhan Chalamanda amesema kushuka daraja kwa timu hiyo ni sawa na kifo kwa mwanadamu, lakini si kiwango kidogo kwa wachezaji, huku akifichua kushindwa kujipanga mapema na...
Jacob Massawe aamsha mastaa Namungo NAHODHA wa Namungo, Jacob Masawe amesema licha ya kukutana na timu zilizoshuka daraja, lakini hawatadharau mechi hizo kutokana na upinzani wa timu zilizo chini yao, huku akishangazwa na historia...
Asukile atoa matumaini Tanzania Prisons STAA wa zamani wa Tanzania Prisons, Benjamin Asukile amesema pamoja na presha iliyopo kukwepa kushuka daraja, lakini upo uwezekano wa kubaki salama Ligi Kuu kwa timu hiyo msimu ujao.
Mbeya City kufumua kikosi WAKATI Mbeya City ikiendelea kuchekelea kurejea Ligi Kuu Bara, uongozi wa timu hiyo umesema pamoja na kazi nzuri waliyofanya wachezaji na benchi la ufundi, lakini mabadiliko na maboresho...
Utamu wa Ligi Kuu Bara sasa umebaki hapa WAKATI Kagera Sugar ikiungana na KenGold kwenda kucheza Ligi ya Championship, kwa sasa Ligi Kuu Bara presha imebaki kwa timu tisa kujitetea kukwepa hatua ya mchujo (play- offs) ya kushuka daraja,...
KenGold yawaganda mastaa, yaahidi kurudi upya Ligi Kuu PAMOJA na kukubali kushuka daraja, kocha mkuu wa KenGold, Omary Kapilima amesema wanafanya kila linalowezekana kuwashawishi mastaa waliofanya vizuri kikosini ili wabaki nao kwa ajili ya kupambana...
Siku 35 zaipa akili mpya Coastal Union BAADA ya kumalizana na Tanzania Prisons, sasa Coastal Union ina takribani siku 35 za kujiandaa na mchezo ujao wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Fountain Gate.
Josiah anazitaka nne ngumu Tanzania Prisons USHINDI katika mechi nne mfululizo umeonekana kuipa nguvu Tanzania Prisons, huku Kocha Mkuu wa timu hiyo, Aman Josiah akiamini mechi mbili zilizobaki dhidi ya Yanga na Singida Black Stars atapata...