Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

214 results for OMARY MDOSE :

  1. PRIME Zubaa uchekwe!

    UNAIJUA furaha ya kufanikisha jambo dakika za mwisho huku kila mmoja akikutolea macho kuona kama utafanikiwa au la? Basi jambo hilo hadi kufikia saa 12 jioni Jumapili hii mbivu na mbichi...

    LIGI Pict
  2. PRIME Simba, Yanga vita 5 Ligi Kuu...

    KATIKA siku ambayo wapenzi wa Ligi Kuu Bara watakuwa bize kufuatilia michezo ya ligi hiyo, basi ni kesho Jumapili zitakapochezwa mechi nane za raundi ya 30.

    SPESHO Pict
  3. PRIME Ngoma tatu nzito za Mzize

    Sikia, wababe Simba na Yanga wako mzigoni leo katika viwanja viwili tofauti wakiwania ubingwa wa ligi hiyo, lakini nyuma yao kila mmoja anakabiliwa na kibarua cha kumrarua mwezake katika mchezo...

    MZIZE Pict
  4. Ndayiragije aipa ubingwa Kenya Police ikizima utawala wa Gor Mahia

    KOCHA wa zamani wa Azam, KMC na Timu ya Taifa ya Tanzania, Etienne Ndayiragije, ukiwa ni msimu wake wa kwanza ameiongoza Kenya Police FC kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya Kenya 2024/2025 kwa mara ya...

    UBINGWA Pict
  5. PRIME Hatuchezi yachukua sura mpya

    MSISITIZO wa Yanga wa kutocheza Dabi ya Kariakoo bado upo palepale. Inaelezwa kuwa Yanga, haitacheza Dabi ya Kariakoo Juni 15 mwaka huu dhidi ya Simba hadi haki yao ipatikane baada ya mechi hiyo...

    HATUCHEZI Pict
  6. Aziz KI yumo dhidi ya FC Porto leo usiku mchezo wa kirafiki

    BAADA ya kuukosa mchezo wa kwanza wa kirafiki ambao Wydad Athletic Club ilicheza dhidi ya Sevilla, hatimaye leo Mei 31, 2025 kiungo mshambuliaji, Stephane Aziz KI amejumuishwa kwenye kikosi...

  7. Idriss Mbombo anakiwasha Zambia, abeba tuzo ya ufungaji bora

    MSHAMBULIAJI wa Nkana FC, Idriss Ilunga Mbombo, ametwaa Tuzo ya Mfungaji Bora wa Ligi Kuu Soka Zambia maarufu MTN Super League Football msimu wa 2024-2025.

  8. Ukizubaa Ligi Kuu Bara umeachwa

    BAADA ya Simba kuilaza Singida Black Stars kwa bao 1-0 katika mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa Jumatano wiki hii kwenye Uwanja wa KMC Complex, Dar, hivi Wekundu wa Msimbazi sasa wako nyuma ya...

    UKIZUBAA Pict
  9. PRIME Mambo matano yaliyotenganisha fainali za Simba, Yanga CAF

    YANGA na Simba zinaendelea kuwa kwenye vitabu vya kumbukumbu za soka la Tanzania kwamba ndiyo timu zilizocheza fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika.

  10. Baada ya Simba kukosa ubingwa CAF, Manula atoa kauli nzito

    SIKU chache baada ya Simba SC kupoteza nafasi ya kutwaa ubingwa wa Kombe la Shirikisho Afrika, golikipa wa timu hiyo, Aishi Manula, ameibuka na kutoa kauli nzito kuhusu kilichotokea.

    MANULA Pict
Previous

Page 2 of 22

Next