Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

791 results for Nevumba Abubakar :

  1. Chama la Edwin Balua lina historia

    TAARIFA mbalimbali zinaeleza kuwa kiungo wa Simba, Edwin Balua ametolewa kwa mkopo wa mwaka mmoja kwenda Enosis Union Athletic Paralimni FC ya Cyprus.

    BALUA Pict
  2. Kiungo Mtanzania awindwa na Waarabu

    KIUNGO Mtanzania Suzana Adam, ambaye alikuwa anakipiga FC Masar ya Misri, anawindwa na timu za Ligi Kuu nchini humo na Morocco.

    SUZAN Pict
  3. Pipino: Kutoka Magnet, KMC hadi Stars

    KATI ya majina 10 ya vijana yaliyochipukia kwa kasi Ligi Kuu Bara kwa kuonyesha kiwango bora msimu ulioisha hivi karibuni, jina la Ahmed Bakari ‘Pipino’ linazidi kuwa gumzo.

  4. Pacome awatema Chama na Kibu MVP, Juni

    KIUNGO mshambuliaji wa Yanga, Pacome Zouzoua amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa mwezi Juni wa Ligi Kuu Bara akiwaacha Clatous Chama na Kibu Denis wa Simba.

  5. Watatu Simba wajiandaa kutua Yanga

    SIMBA Queens imeshawapa taarifa wachezaji ambao haitakuwa nao msimu ujao na kati yao watatu wanahusishwa kujiunga na Yanga Princess.

    WATATU Pict
  6. JKT Queens yabeba kipa Mashujaa

    JKT Queens msimu huu ndiyo itaiwakilisha Tanzania kwenye michuano ya CECAFA ya kufuzu Ligi ya Mabingwa kwa Wanawake na tayari imeanza maboresho kwenye baadhi ya maeneo ikiwemo langoni.

    JKT Pict
  7. Opah Clement arejea kuibeba Twiga Stars

    Baada ya kocha wa Twiga Stars Bakari Shime kusema kuwa walipoteza mchezo uliopita wa Kombe la Mataifa Afrika kwa Wanawake (WAFCON) kutokana na kuwakosa baadhi ya mastaa wake, leo mshambuliaji...

    OPAH Pict
  8. Beki mkongoman atajwa Azam FC

    AZAM FC imeanza mazungumzo na Al Hilal ya Sudan ili kupata saini ya beki wa kulia, mkongomani Steven Ebuela, ambaye yuko nchini kwa takriban wiki sasa.

    MCONGO Pict
  9. WAFCON 2024: Twiga Stars hata droo tu

    BAADA ya kuanza vibaya fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wanawake (WAFCON), timu ya taifa ya soka ya wanawake, Twiga Stars usiku wa leo inarudi tena uwanjani kutesti zali kwa kukabiliana...

    TWIGA Pict
  10. Kumekucha Yanga, mastaa sita Kuachwa

    BAADA ya Yanga Princess kuonyesha kiwango kizuri msimu huu, itaachana na wachezaji sita na kuongeza nyota wapya.

    YANGA Pict
Previous

Page 2 of 80

Next