PRIME Mastaa Simba wataja mambo matatu MIAKA mitatu ya maumivu ya kupoteza taji la Ligi Kuu Bara mbele ya macho baada ya safari ndefu ya mechi 29 za ligi hiyo, Simba imefika mwisho wa njia sehemu ambayo ama izaliwe upya kama bingwa wa...
PRIME Ahoua, Mpanzu wapewa kazi maalum Simba KIKOSI cha Simba kinaendelea na maandalizi ya mwisho ya kuvaana na Kagera Sugar katika mechi ya Ligi Kuu ya kutimiza raundi ya 30, kisha kujipanga kwa pambano la Dabi ya Kariakoo, huku kocha mkuu...
PRIME Kaizer yaingilia dili la Tau Yanga MAMBO yanaendelea kuwa mambo katika viunga vya Jangwani wakati huu ambapo Yanga imeshaanza kufanya biashara ikifanikiwa kumuuza aliyekuwa kiungo wake, Stepahie Aziz KI kwenda Wydad Casablanca ya...
Mayay, Karia wajitosa Urais TFF NYOTA wa zamani wa Yanga, Ally Mayay amethibitisha kuingia kwenye mbio za kugombea urais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), ikiwa ni siku mbili baada ya kuchukua fomu ikielezwa ni...
Kocha Rwanda atamani kibarua cha Taoussi Azam MAFANIKIO ya Simba na Yanga na Ligi Kuu Bara kwa ujumla katika ngazi ya kimataifa, yamempa wivu kocha mwenye uzoefu kutoka Rwanda, Innocent Seninga, akisema anatamani kuja kufanya kazi katika...
PRIME Ayoub Lakred, Simba kuna kitu MSIMBAZI kuna kitu kinaendelea chini kwa chini wakati macho ya mashabiki wa Simba yakielekezwa kwenye sakata la dabi, nyuma ya pazia jina la kipa Ayoub Lakred limeanza kuzungumziwa kwenye korido...
Waamuzi kuvalishwa kamera Kombe la Dunia la Klabu 2025 SOKA kwa asilimia kubwa linazidi kuhamia katika teknolojia na baada ya kushuhudiwa kwa matumizi ya marudio ya picha za video zinazomsaidia mwamuzi kutafsiri makosa uwanjani (VAR), teknolojia ya...
Azam yampotezea Diao, akitajwa APR Rwanda MSHAMBULIAJI wa Azam FC, Alassane Diao anaweza kutua APR FC ya Rwanda mara baada ya msimu huu kumalizika, kufuatia taarifa za kuaminika kueleza kuwa mabosi wa klabu hawapo tayari kumuongezea...
Beki Yanga azungumzia ishu ya kutumia dawa za kulevya JUA linawaka polepole katika viunga vya Kianga, Unguja, Zanzibar kwenye kona ya uwanja wenye majani yaliyonawiri
PRIME Faili la Jonathan Sowah latua kwa MO KABLA hata dirisha la usajili halijatangazwa kufunguliwa, mabosi wa klabu kubwa za soka nchini wameanza kazi kimyakimya kusaka nyota wapya kwa msimu ujao, huku faili ya straika wa Singida Black...