Arajiga pilato wa Simba, Singida FA Refa Ahmed Arajiga ndiye atashika filimbi katika mechi ya nusu fainali ya Kombe la Shirikisho la CRDB baina ya Simba na Singida Black Stars itakayochezwa kwenye Uwanja wa Tanzanite Kwaraa, Babati...
Makipa wazawa upepo sio mzuri HIKI kizazi cha sasa cha makipa wazawa kilikuwa na mwanzo mzuri kuanzia kipindi cha miaka ya 2010 ambapo wengi walianza kuibuka wakiwa watoto hasa katika timu za vijana za Tanzania.
Tujifunze kwa Kagere, Victor Wanyama JANA kocha wa timu ya taifa Rwanda ‘Amavubi’, Adel Amrouche alitangaza kikosi cha timu hiyo kwa ajili ya mechi mbili za kirafiki mwezi ujao dhidi ya Algeria mwezi ujao ambapo alimjumuisha nyota...
Vurugu viwanjani mambo ya kishamba POLE kwa mashabiki wote ambao walikutana na kadhia ya kupigwa, kuchaniwa jezi au kufanyiwa kitendo chochote kisicho cha kiungwana kwenye mechi ya Simba dhidi ya RS Berkane ya Morocco, Jumapili...
Pyramids yaitibulia Mamelodi, Mayele anusa ubingwa CAFCL Ikiwa mchezo huo wa marudiano utamalizika kwa sare ya mabao ya kuanzia 2-2 au Pyramids FC kupoteza, Mamelodi Sundowns itatwaa ubingwa na kama utamalizika kwa sare ya bao 1-1, mikwaju ya penalti...
Taifa Stars kutesti mitambo na Bafana Bafana Mchezo huo umepangwa kuchezwa katika Uwanja wa Peter Mokaba uliopo Polokwane, Afrika Kusini kuanzia saa 1:30 usiku kwa muda wa huko sawa na saa 2:30 usiku kwa muda wa Afrika Mashariki.
Kijiwe kinaitakia kila la kheri Simba Zenji MNYAMA kapambana sana ili mechi yake ya marudiano ichezwe kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa badala ya New Amaan Complex, lakini ndivyo hivyo tena, bosi siku zote hakosei na huwa yuko sahihi.
Karibu tena Maximo changamoto zilezile KIJIWE kimepata taarifa za uhakika kuwa, kuna uwezekano mkubwa aliyekuwa kocha kipenzi cha Watanzania Marcio Maximo akarejea nchini.
Nenda Aziz Ki hauna deni Tanzania MAPEMA tu mwezi ujao hapa kijiweni tutakaa mbele ya runinga kumtazama Stephane Aziz Ki akikiwasha katika Kombe la Dunia la Klabu huko Marekani akiitumikia Wydad ya Morocco.
PRIME Mechi bado mbichi... Rekodi zaibeba Simba SIMBA imepoteza kwa mabao 2-0 juzi usiku katika pambano la kwanza la fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika mbele ya RS Berkane ikiwa ugenini, huku kilichoiangusha kikibainika, lakini kocha Fadlu...