Kwa Mkapa kweupeee UWANJA wa Benjamin Mkapa Dar es Salaam ambao utatumika kuchezewa mechi ya dabi kati ya Yanga na Simba uko mweupe kwenye baadhi ya majukwaa.
Yusuph Athuman arudi bongo MSHAMBULIAJI Yusuph Athuman aliyekuwa anakipiga Yangon United inayoshiriki Ligi Kuu ya Myanmar amesema amerejea nchini baada ya kumaliza mkataba wake wa mkopo nchini humo.
Shafii Lumambo anasikilizia Uturuki KIUNGO mshambuliaji wa Kitanzania anayekipiga Beykoz Anadolu Spor ya Uturuki, Shafii Omary Lumambo amesema bado hajasaini mkataba mpya na chama hilo, zikiwa zimesalia siku chache kumaliza mkataba...
Mgogoro wa Iran, Israel wamkwamisha Wazir Jr Iraq MSHAMBULIAJI wa Al Mina’a, Wazir Jr Shentembo amesema mgogoro kati ya Iran na Israel umesitisha safari za ndege kwa timu kutoka sehemu moja kwenda nyingine.
Opah Clement kurudi Ligi Kuu China BEIJING Beikong inayoshiriki Ligi Kuu ya Wanawake China iko kwenye mpango wa kumsajili nyota wa zamani wa Simba, Opah Clement.
Tausi FC inakuja kuwashika au kupita kama wengine? SOKA la wanawake limeanza kushika kasi nchini na duniani kwa ujumla, ambapo nyota kadhaa wa ndani na kimataifa wamekuwa wakishiriki kila mwaka mashindano ya ligi za ndani.
Shime: Uganda imetupa maswali magumu KOCHA wa Timu ya Taifa 'Twiga Stars', Bakari Shime amesema ushindi dhidi ya Uganda jana wa mabao 2-0 umewapa maswali magumu ya kujiuliza kuelekea mechi ya kesho, Juni 21 dhidi ya Kenya.
Tanzania yaendeleza vichapo CECAFA TWIGA Stars ambayo ni timu taifa ya Tanzania upande wa soka la wanawake, imeendelea kutoa vichapo kwenye michuano ya CECAFA Senior Women Championship baada ya kuitandika Burundi mabao 6-0.
Fursa tamu zitakazomfuata Mobetto USAJILI wa kiungo mshambuliaji wa zamani wa Yanga na timu ya taifa ya Burkina Faso, Stephanie Aziz Ki kwenda Wydad Casablanca ya Morocco hivi karibuni na hatimaye kwenda kupiga katika fainali za...
Tausi bingwa Daraja la Kwanza wanawake NI rasmi kwamba Tausi FC maarufu kama Ukerewe Queens imekuwa bingwa wa Ligi Daraja la kwanza (WFDL) kwa wanawake baada ya kuichapa Bilo Queens kwa mabao 3-0 kwenye fainali iliyopigwa katika...