Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

1704 results for Daudi Elibahati :

  1. Dodoma Jiji yashtukia janja ya Azam FC

    BAADA ya Azam FC kumpigia hesabu za kumrejesha aliyekuwa kiungo mshambuliaji wa kikosi hicho, Idd Kipagwile, mabosi wa Dodoma Jiji wameshtukia dili hilo mapema na kuamua kumwongezea mkataba wa...

    KIPWAGILE Pict
  2. Mbeya City yavamia dili la beki Simba

    MABOSI wa Mbeya City wameanza kuingilia kati dili la beki wa kati wa Simba, Hussein Kazi ambaye mkataba wake na kikosi hicho cha Msimbazi umefikia tamati msimu huu, baada ya awali nyota huyo...

    KAZI Pict
  3. Kocha Mkongomani anukia Dodoma Jiji

    MABOSI wa Dodoma Jiji FC wako katika mazungumzo ya kuipata saini ya aliyekuwa kocha wa Tabora United, Mkongomani Anicet Kiazayidi baada ya kuvutiwa na uwezo wake, wakiamini atatengeneza kikosi...

    DODOMA Pict
  4. Saliboko mikononi mwa maafande

    MAAFANDE wa JKT Tanzania wako katika mazungumzo kwa ajili ya kuipata saini ya mshambuliaji wa KMC FC, Daruweshi Saliboko ili kuichezea timu hiyo msimu ujao, baada ya kuonyesha nia ya kuhitaji...

    SALIBOKO Pict
  5. Straika Mbeya City anukia Mashujaa

    VIONGOZI wa Mashujaa FC wako katika mazungumzo ya kupata saini ya aliyekuwa mshambuliaji wa Mbeya City, Mudathir Said baada ya nyota huyo aliyeirejesha timu hiyo Ligi Kuu kumaliza mkataba wa...

  6. Pamba yarejea kwa straika Mzenji

    BAADA ya mabosi wa Pamba Jiji FC kumkosa mshambuliaji wa Mlandege, Abdallah Iddi ‘Pina’, katika dirisha dogo la Januari 2025, inaelezwa wameanza tena harakati hizo upya, ili kuhakikisha msimu...

    PAMBA Pict
  7. Andrew Simchimba asakwa Dodoma Jiji

    UONGOZI wa Dodoma Jiji umeanza kumpigia hesabu mshambuliaji wa Geita Gold, Andrew Simchimba kwa ajili ya msimu ujao wa mashindano mbalimbali, akitajwa ni mbadala sahihi wa aliyekuwa nyota wa...

    SINCHIMBA Pict
  8. Mido ya boli awindwa Azam FC

    MATAJIRI wa Jiji la Dar es Salaam Azam FC, wanaendelea na maboresho ya kikosi hicho kimya kimya kwa ajili ya msimu ujao ili kuleta ushindani, ambapo kwa sasa wameanza mazungumzo ya kuipata saini...

    PIPINO Pict
  9. Stand United, Fountain Gate kitawaka Shinyanga

    VITA ya kuisaka tiketi ya kucheza Ligi Kuu Bara msimu ujao inaendelea leo kwa mechi ya play-off kati ya wenyeji Stand United ya Ligi ya Championship na Fountain Gate ya Ligi Kuu Bara...

    STAND Pict
  10. Ibenge aaga rasmi Al Hilal, njia nyeupe Azam FC

    ALIYEKUWA Kocha Mkuu wa Al Hilal Omdurman ya Sudan, Florent Ibenge amewashukuru wafanyakazi, wachezaji, watendaji, mashabiki na watu wote wa Sudan kwa kipindi cha miaka mitatu aliyofanya nao...

Page 1 of 171

Next