Burundi yaanza na ushindi CECAFA, yaichapa Uganda TIMU ya taifa ya Burundi imeanza vyema kampeni za kutafuta ubingwa wa mashindano ya CECAFA Senior Women Championship 2025 kwa kuichapa Uganda bao 1-0.
Gaucho anukia umeneja Simba Queens MABINGWA wa zamani wa Ligi Kuu ya Wanawake (WPL), Simba Queens imepanga kumpa heshima mshambuliaji mkongwe wa timu hiyo, Mwanahamisi Omary 'Gaucho' kwa kumtunuku cheo cha umeneja wa timu.
Opah Clement ndo basi tena FC Juzrez KLABU ya FC Juarez ya Mexico imeachana na mshambuliaji wa Kitanzania, Opah Clement baada ya kuhudumu kikosini hapo kwa msimu mmoja.
Tanzania kuanza na Sudan Cecafa Dar MASHINDANO ya Baraza la Vyama vya Soka Afrika Mashariki na Kati (Cecafa) ya Wanawake yanatarajiwa kuanza Juni 12, mwaka huu katika Uwanja wa Azam Complex ambapo Tanzania itaumana na Sudan Kusini.
Lunyamila kumaliza ukame wa mabao FC Juarez USAJILI wa nyota mpya Mtanzania, Enekia Lunyamila aliyetua FC Juarez huenda ukamaliza tatizo la ufungaji mabao katika klabu hiyo kutokana na rekodi zake nzuri alikotoka.
Chomelo: Haukuwa msimu mzuri, tutajipanga KIUNGO wa Konya Amputee inayoshiriki Ligi ya Walemavu Uturuki, Ramadhan Chomelo amesema haukuwa msimu mzuri kwa upande wao kutokana na ushindani kuongezeka huku kwa upande wake akitakiwa kufanya...
Miroshi ashindwa kuandika rekodi Ulaya KIRAKA wa Goztepe inayoshiriki Ligi Kuu ya Uturuki, Novatus Dismas Miroshi ameshindwa kuandika historia nyingine kwenye michuano ya Ulaya baada ya chama lake kumaliza nafasi ya nane kwenye...
Majeraha yamtibulia Kachwele Marekani STRAIKA wa Whitecaps FC anayecheza kwa mkopo Vancouver Whitecaps inayoshiriki Ligi Kuu Marekani (MLS), Cyprian Kachwele amesema msimu huu ameuanza vibaya baada ya kupata majeraha ya nyama za paja.
JKT Queens yaanza na kocha WAKATI JKT Queens ikijiandaa na mashindano ya Cecafa ili kufuzu Ligi ya Mabingwa Afrika imeanza marekebisho ya benchi la ufundi ikidaiwa kumalizana na kocha mkuu Ester Chabruma ‘Lunyamila’.
Hili hapa Chama la Baum Ujerumani WIKI zilizopita RB Leipzing ilimtambulisha kiungo Lisa Baum ambaye ana asili ya nchi mbili Tanzania na Ujerumani.