Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

729 results for Nevumba Abubakar :

  1. Burundi yaanza na ushindi CECAFA, yaichapa Uganda

    TIMU ya taifa ya Burundi imeanza vyema kampeni za kutafuta ubingwa wa mashindano ya CECAFA Senior Women Championship 2025 kwa kuichapa Uganda bao 1-0.

    CECEFA Pict
  2. Gaucho anukia umeneja Simba Queens

    MABINGWA wa zamani wa Ligi Kuu ya Wanawake (WPL), Simba Queens imepanga kumpa heshima mshambuliaji mkongwe wa timu hiyo, Mwanahamisi Omary 'Gaucho' kwa kumtunuku cheo cha umeneja wa timu.

    GAUCHO Pict
  3. Opah Clement ndo basi tena FC Juzrez

    KLABU ya FC Juarez ya Mexico imeachana na mshambuliaji wa Kitanzania, Opah Clement baada ya kuhudumu kikosini hapo kwa msimu mmoja.

    OPAH Pict
  4. Tanzania kuanza na Sudan Cecafa Dar

    MASHINDANO ya Baraza la Vyama vya Soka Afrika Mashariki na Kati (Cecafa) ya Wanawake yanatarajiwa kuanza Juni 12, mwaka huu katika Uwanja wa Azam Complex ambapo Tanzania itaumana na Sudan Kusini.

    CECAFA Pict
  5. Lunyamila kumaliza ukame wa mabao FC Juarez

    USAJILI wa nyota mpya Mtanzania, Enekia Lunyamila aliyetua FC Juarez huenda ukamaliza tatizo la ufungaji mabao katika klabu hiyo kutokana na rekodi zake nzuri alikotoka.

    LUNYAMILA Pict
  6. Chomelo: Haukuwa msimu mzuri, tutajipanga

    KIUNGO wa Konya Amputee inayoshiriki Ligi ya Walemavu Uturuki, Ramadhan Chomelo amesema haukuwa msimu mzuri kwa upande wao kutokana na ushindani kuongezeka huku kwa upande wake akitakiwa kufanya...

    CHOMELO Pict
  7. Miroshi ashindwa kuandika rekodi Ulaya

    KIRAKA wa Goztepe inayoshiriki Ligi Kuu ya Uturuki, Novatus Dismas Miroshi ameshindwa kuandika historia nyingine kwenye michuano ya Ulaya baada ya chama lake kumaliza nafasi ya nane kwenye...

    MIROSHI Pict
  8. Majeraha yamtibulia Kachwele Marekani

    STRAIKA wa Whitecaps FC anayecheza kwa mkopo Vancouver Whitecaps inayoshiriki Ligi Kuu Marekani (MLS), Cyprian Kachwele amesema msimu huu ameuanza vibaya baada ya kupata majeraha ya nyama za paja.

    KACHWELE Pict
  9. JKT Queens yaanza na kocha

    WAKATI JKT Queens ikijiandaa na mashindano ya Cecafa ili kufuzu Ligi ya Mabingwa Afrika imeanza marekebisho ya benchi la ufundi ikidaiwa kumalizana na kocha mkuu Ester Chabruma ‘Lunyamila’.

    JKT Pict
  10. Hili hapa Chama la Baum Ujerumani

    WIKI zilizopita RB Leipzing ilimtambulisha kiungo Lisa Baum ambaye ana asili ya nchi mbili Tanzania na Ujerumani.

    CHAMA Pict

Page 1 of 73

Next