Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

547 results for Nevumba Abubakar :

  1. Wazir Jr amfuata Msuva Iraq

    MSHAMBULIAJI wa Dodoma Jiji, Wazir Jr Shentembo amejiunga na Al Mina'a FC inayoshiriki Ligi Kuu ya Irak akimfuata Simon Msuva anayekipiga katika timu ya Al Talaba.

  2. PRIME Novatus Miroshi anapita mule mule kwa Samatta

    NI ndoto ya vijana wengi wa Kitanzania kufika levo ya Nahodha wa Taifa Stars, Mbwana Samatta ya kucheza Ligi kubwa barani Ulaya kutokana na rekodi aliyoweka.

  3. Opah alivyotua kusaka namba Mexico

    MSHAMBULIAJI Opah Clement wiki hii ametambulishwa FC Juarez ya Mexico inayoshiriki Ligi ya Wanawake nchini humo na kumfanya aongeze idadi ya nyota wa Tanzania wanaocheza ligi hiyo baada ya...

    Opah Pict
  4. Gets Program kurudi upya WPL

    KOCHA wa Get Program iliyopanda daraja msimu huu, Aristides Ngowi licha ya kuwa na wachezaji wengi vijana ambao hawana uzoefu na ligi, lakini wanapambana jambo linalowapa motisha ya kujipanga...

    Gets Pict
  5. Hili hapa chama la Malaika Meena England

    NYOTA wa Kitanzania, Malaika Meena amesema ana furaha kubwa kujiunga na Bristol City inayoshiriki Ligi ya Wanawake ya Championship ya England, huku akitaja malengo yake ni kuipandisha timu ligi kuu.

    Malaika Pict
  6. Simba, Yanga kazi ipo Machi 4

    DABI ya watani wa jadi inayowakutanisha Simba na Yanga itapigwa Machi 4 baada ya mapumziko ya siku 30 ya Ligi. Dabi hiyo ya Ligi Kuu ya Wanawake (WPL) inapigwa siku nne tu kabla ya watani hao kwa...

    Watani Pict
  7. Ushindi mechi nne mfululizo wamkosha Mourinho

    KOCHA wa Yanga Princess, Edna Lema 'Mourinho' amesema ushindi wa mechi nne mfululizo kwenye ligi zinachangiwa na juhudi za wachezaji wake waliopambana hasa duru la pili.

    Edna Pict
  8. Ndugu zake Aziz KI, Diarra washushwa Dar

    WAKATI Ligi ya Wanawake ikisaliwa na mechi sita, Ligi ya Mkoa nayo ikitarajiwa kuanza, Ukerewe Queens ambayo kwa sasa inaitwa Tausi FC imefanya usajili wa maana kujiandaa na ligi hiyo ikiwaleta...

    Ndugu Pict
  9. Moto wa Clara Luvanga wawatisha Waarabu

    MOTO wa straika wa Al Nassr ya Saudi Arabia, Clara Luvanga haupoi na safari hii anawania tuzo ya mchezaji bora wa mwezi mbele ya Waarabu.

    Luvanga Pict
  10. Charles M'Mombwa mdogo mdogo Newcastle

    KIUNGO Mtanzania, Charles M'Mombwa anayekipiga Newcastle Jets ya Australia taratibu anaanza kuingia kwenye kikosi hicho kinachoshiriki Ligi Kuu ya nchini humo.

    Mmombwa Pict

Page 1 of 55

Next