Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

1700 results for Daudi Elibahati :

  1. Straika Mbeya City anukia Mashujaa

    VIONGOZI wa Mashujaa FC wako katika mazungumzo ya kupata saini ya aliyekuwa mshambuliaji wa Mbeya City, Mudathir Said baada ya nyota huyo aliyeirejesha timu hiyo Ligi Kuu kumaliza mkataba wa...

  2. Pamba yarejea kwa straika Mzenji

    BAADA ya mabosi wa Pamba Jiji FC kumkosa mshambuliaji wa Mlandege, Abdallah Iddi ‘Pina’, katika dirisha dogo la Januari 2025, inaelezwa wameanza tena harakati hizo upya, ili kuhakikisha msimu...

    PAMBA Pict
  3. Andrew Simchimba asakwa Dodoma Jiji

    UONGOZI wa Dodoma Jiji umeanza kumpigia hesabu mshambuliaji wa Geita Gold, Andrew Simchimba kwa ajili ya msimu ujao wa mashindano mbalimbali, akitajwa ni mbadala sahihi wa aliyekuwa nyota wa...

    SINCHIMBA Pict
  4. Mido ya boli awindwa Azam FC

    MATAJIRI wa Jiji la Dar es Salaam Azam FC, wanaendelea na maboresho ya kikosi hicho kimya kimya kwa ajili ya msimu ujao ili kuleta ushindani, ambapo kwa sasa wameanza mazungumzo ya kuipata saini...

    PIPINO Pict
  5. Stand United, Fountain Gate kitawaka Shinyanga

    VITA ya kuisaka tiketi ya kucheza Ligi Kuu Bara msimu ujao inaendelea leo kwa mechi ya play-off kati ya wenyeji Stand United ya Ligi ya Championship na Fountain Gate ya Ligi Kuu Bara...

    STAND Pict
  6. Ibenge aaga rasmi Al Hilal, njia nyeupe Azam FC

    ALIYEKUWA Kocha Mkuu wa Al Hilal Omdurman ya Sudan, Florent Ibenge amewashukuru wafanyakazi, wachezaji, watendaji, mashabiki na watu wote wa Sudan kwa kipindi cha miaka mitatu aliyofanya nao...

  7. Mbadala wa Sowah ageuka lulu sokoni

    WAKATI mabosi wa Singida Black Stars wakimpigia hesabu mshambuliaji nyota wa Berekum Chelsea ya Ghana, Stephen Amankonah kwa ajili ya msimu ujao, wanatarajiwa kukutana na ushindani kutokana na...

  8. Mkali wa mabao Namungo bado kidogo

    STRAIKA Joshua Ibrahim aliyejiunga na Namungo katika dirisha dogo Januari, mwaka huu kutokea KenGold, kwa sasa imebaki yeye tu kusaini mkataba mpya kuendelea kuitumikia timu hiyo, baada ya mabosi...

  9. Pamba Jiji yatua kwa beki Mzambia

    MABOSI wa Pamba Jiji wameanza harakati mapema za kukisuka kikosi hicho upya ili kuleta ushindani msimu ujao, ambapo inaelezwa wametuma wawakilishi kufuatilia upatikanaji wa beki wa kati wa Kabwe...

    PAMBA Pict
  10. Tanzania Prisons, Fountain Gate mwisho wa ubishi

    KITENDAWILI cha kujua ni timu gani kati ya maafande wa Tanzania Prisons na Fountain Gate cha kubakia Ligi Kuu Bara msimu ujao, kitateguliwa leo saa 10:00 jioni, wakati miamba hiyo itakapochuana...

    PLAY OFF Pict

Page 1 of 170

Next