Duh! Sikia hii ya Gyokeres BEKI wa zamani wa Liverpool, Jamie Carragher ameshangaza wengi kudai kocha Mikel Arteta hatamtumia straika mpya Viktor Gyokeres katika mechi kubwa za Arsenal msimu huu.
Liverpool yamfariji Mohamed Salah TIMU ya Liverpool ilimtumia supastaa wake Mohamed Salah ujumbe wa faraja baada ya kuthibitishwa kuwa mshambuliaji huyo hakushinda tuzo ya Ballon d’Or 2025.
Enzo Fernandez arudi fasta London kufanyiwa vipimo Nyota wa Chelsea, Enzo Fernandez, amerejea jijini London, kufuatia hofu ya kuwa na majeraha ambayo huenda yakamuweka nje ya uwanja kwa siku kadhaa.
Ndo hivyo, Guehi anaondoka KOCHA wa Crystal Palace, Oliver Glasner amethibitisha beki wa kati Marc Guehi ataondoka kwenye klabu hiyo ikiwa ni miezi michache imepita tangu alipokwama kujiunga na Liverpool kwenye dirisha...
Wenger ameshtua watu Italia MASHABIKI wa soka wamebaki kwenye mchangao mkubwa baada ya kumwona Arsene Wenger uwanjani kwenye mechi ya Como dhidi ya Juventus kwenye Serie A.
Sikia hii mpya ya shabiki wa Man United SHABIKI wa damu wa mchezo wa soka ambaye aliamua kubadili jina lake na kuitwa Manchester United amefariki dunia kwa kihoro baada ya timu yake kupata matokeo mabovu, amebainisha shemeji yake.
Slot: Huyu Isak kuna kitu bado KOCHA Mkuu wa Liverpool, Arne Slot amekiri mchezaji ghali Uingereza, Alexander Isak hayupo kwenye viwango vya kutosha kuanzishwa kwenye mechi ya Ligi ya Mabingwa Ulaya.
Twiga Stars yatakata, yanusa WAFCON Timu ya Taifa ya soka ya Wanawake ya Tanzania ‘Twiga Stars’ imejiweka katika nafasi nzuri ya kufuzu Fainali za Mataifa ya Afrika kwa Wanawake (WAFCON) 2026 baada ya kuibuka na ushindi wa mabao...
Morocco yaibeba Stars, ikiifumua Zambia LICHA ya kuwa nchi ya kwanza kufuzu fainali za Kombe la Dunia za 2026, Morocco jioni hii imeifumua Zambia ikiwa kwao kwa mabao 2-0 na kuilainishia Tanzania kumaliza nafasi ya pili katika Kundi E.
Man City, Man United nyota kibao wamesepa MANCHESTER City na Manchester United zitamenyana jino kwa jino Jumapili katika mechi ya 197 ya Manchester Derby.