Mbeumo ajilipua Man United, awageukia wenzake NYOTA wa Manchester United, Bryan Mbeumo, amewataka wachezaji wenzake wawajibike kufuatia mwanzo mbaya wa msimu huu.
Antonio Conte afunguka ishu ya McTominay KOCHA wa Napoli, Antonio Conte, amesema hana shida kabisa na huduma ya kiungo wake, Scott McTominay kutokana na kile anachofanya uwanjani, huku akimweka kando kwenye orodha ya wachezaji ambao...
Rice awaza ubingwa Kombe la Dunia KIUNGO ghali wa Arsenal, Declan Rice amesema tena kwa msisitizo kwamba England haipaswi kuwa waoga wa kusema itakwenda kushinda taji la Kombe la Dunia.
Arteta amtisha straika Gyokeres KOCHA Mikel Arteta amemwonya straika wake Viktor Gyokeres angechagua kwenda kujiunga na timu nyingine endapo kama atashindwa kuendana na presha ya kufunga mabao inayomkabili kwa sasa kwenye Ligi...
Kumbe Cunha alimbembelza Antony asiondoke WINGA wa Real Betis, Antony amefichua kwamba Mbrazili mwenzake, Matheus Cunha alimbebeleza sana kumtaka abaki Old Trafford kabla ya kufanya uamuzi wa kutimkia Hispania.
Rafael Benitez arudi kazini Ugiriki KOCHA, Rafa Benitez amerejea mzigoni baada ya kukubali kuwa kocha mpya wa Panathinaikos.
Maskini Al Merrikh yatupwa nje Afrika AL Merrikh ya Sudan imetupwa nje katika michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya kulazimishwa suluhu nyumbani na FC Lupopo ya DR Congo.
Cole Palmer ambwaga Ronaldo, amtaja Ravel Morrison NYOTA wa Chelsea, Cole Palmer, ametaja kikosi chake cha wachezaji watano bila kumjumuisha Cristiano Ronaldo jambo lililowashangaza wengi.
Arsenal imechomoa betri kwa Garnacho HABARI ndo hiyo. Arsenal imeripotiwa kuwa na mpango wa kumsajili winga wa Manchester United, Alejandro Garnacho kabla ya kuamua kusitisha jambo hilo.
Samatta, Le Havre waanza na kipigo NYOTA wa kimataifa wa Tanzania na nahodha wa Taifa Stars, Mbwana Samatta ameanza vibaya Ligue 1 baada ya kikosi anachokitumikia kwa sasa Le Havre kulala kwa mabao 3-1 ikiwa ugenini mbele ya...