Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

8651 results for Mwandishi :

  1. Kiwango kilipanda, Ronaldo akaenda Ureno na Messi akatua Hispania

    KATIKA toleo lililopita mwandishi, Luca Caioli alituonyesha safari ya Messi ilivyokuwa kabla ya kumgeukia Ronaldo na kuchambua matukio ya mwanzo mwanzo ya soka la ushindani. Sasa endelea…

  2. Ronaldo kwa mademu balaa, Messi na Antonella wametulia tu

    TOLEO lililopita, Mwandishi, Luca Caioli aliyachambua mambo yanayowapendeza Ronaldo na Messi nje ya soka huku akimtaja Ronaldo kupenda mchezo wa tenisi, pamoja na kuizungumzia familia ya...

  3. Messi aitwa baba, Ronaldo yeye na mademu damudamu

    KATIKA toleo, mwandishi Luca Caioli alizichambua tabia za Ronaldo anayezungumzwa ni mpenda mademu tofauti huku Messi akihusishwa na mwanamke mmoja tu wa tangu utotoni. Sasa endelea…

  4. Cristiano Ronaldo akumbuka alipolia fainali za Euro 2004

    KATIKA toleo lililopita, mwandishi, Luca Caioli alielezea namna ambavyo Cristiano Ronaldo alishindwa kujizuia kulia mbele ya mtoto wake na familia yake wakati akikabidhiwa tuzo ya Ballon d’Or.

  5. Sarri bado mechi moja tu afukuzwe kazi

    NI kama kitabu kilichoandikwa na mwandishi wa zamani wa Tanzania, Hammie Rajab ‘Roho Mkononi’. Kocha wa Chelsea, Maurizio Sarri ni kama vile anatembea na roho yake mkononi. Amebakiza...

  6. Guardiola afichua majanga yalimponza kwa Madrid

    TOLEO lililopita kwenye Kitabu cha Pep Confidential, tuliona namna ambavyo Mwandishi Marti Perarnau aliendelea na mahojiano yake na Kocha Pep Guadiola na moja ya swali alilomuuliza ni iwapo...

  7. Wachezaji Bayern washindwa kutumia tiquitaca za Pep

    KATIKA toleo lililopita kwenye kitabu cha Pep Confidential, mwandishi Marti Perarnau alianza kuelezea mipango ya Kocha Pep Guardiola katika mbio za Ligi ya Mabingwa akijiandaa kuivaa Arsenal...

  8. NYUMA YA PAZIA : Tatizo la Xhaka ni rula ya Vieira na Petit

    MWANDISHI wa Kiingereza aliyeitwa Will Sharp aliwahi kuandika. Alisema “Patrick Vieira na Emmanuel Petit wataendelea kuwa rula ya kupimia viungo wao wajao wa Arsenal”. Nadhani hakukosea sana.

  9. Messi vs Ronaldo : Ronaldo afunga kazi Euro2016

    TOLEO lililopita, mwandishi, Luca Caioli alizungumzia safu ya ushambuliaji wa Barca ya MSN yaani Messi, Suarez na Neymar ilivyobeba mataji matatu msimu wa 2014/15 na furaha ya Messi...

  10. Messi vs Ronaldo : Messi apitia kipindi kigumu

    TOLEO lililopita, Mwandishi, Luca Caioli alielezea namna ambavyo Ronaldo alikuwa na furaha baada ya kutwaa taji la Ulaya ‘Euro 2016’ akiwa na Timu ya Taifa ya Ureno na kueleza kuwa hayo...

Previous

Page 92 of 866

Next