Kiwango kilipanda, Ronaldo akaenda Ureno na Messi akatua Hispania KATIKA toleo lililopita mwandishi, Luca Caioli alituonyesha safari ya Messi ilivyokuwa kabla ya kumgeukia Ronaldo na kuchambua matukio ya mwanzo mwanzo ya soka la ushindani. Sasa endelea…
Ronaldo kwa mademu balaa, Messi na Antonella wametulia tu TOLEO lililopita, Mwandishi, Luca Caioli aliyachambua mambo yanayowapendeza Ronaldo na Messi nje ya soka huku akimtaja Ronaldo kupenda mchezo wa tenisi, pamoja na kuizungumzia familia ya...
Messi aitwa baba, Ronaldo yeye na mademu damudamu KATIKA toleo, mwandishi Luca Caioli alizichambua tabia za Ronaldo anayezungumzwa ni mpenda mademu tofauti huku Messi akihusishwa na mwanamke mmoja tu wa tangu utotoni. Sasa endelea…
Cristiano Ronaldo akumbuka alipolia fainali za Euro 2004 KATIKA toleo lililopita, mwandishi, Luca Caioli alielezea namna ambavyo Cristiano Ronaldo alishindwa kujizuia kulia mbele ya mtoto wake na familia yake wakati akikabidhiwa tuzo ya Ballon d’Or.
Sarri bado mechi moja tu afukuzwe kazi NI kama kitabu kilichoandikwa na mwandishi wa zamani wa Tanzania, Hammie Rajab ‘Roho Mkononi’. Kocha wa Chelsea, Maurizio Sarri ni kama vile anatembea na roho yake mkononi. Amebakiza...
Guardiola afichua majanga yalimponza kwa Madrid TOLEO lililopita kwenye Kitabu cha Pep Confidential, tuliona namna ambavyo Mwandishi Marti Perarnau aliendelea na mahojiano yake na Kocha Pep Guadiola na moja ya swali alilomuuliza ni iwapo...
Wachezaji Bayern washindwa kutumia tiquitaca za Pep KATIKA toleo lililopita kwenye kitabu cha Pep Confidential, mwandishi Marti Perarnau alianza kuelezea mipango ya Kocha Pep Guardiola katika mbio za Ligi ya Mabingwa akijiandaa kuivaa Arsenal...
NYUMA YA PAZIA : Tatizo la Xhaka ni rula ya Vieira na Petit MWANDISHI wa Kiingereza aliyeitwa Will Sharp aliwahi kuandika. Alisema “Patrick Vieira na Emmanuel Petit wataendelea kuwa rula ya kupimia viungo wao wajao wa Arsenal”. Nadhani hakukosea sana.
Messi vs Ronaldo : Ronaldo afunga kazi Euro2016 TOLEO lililopita, mwandishi, Luca Caioli alizungumzia safu ya ushambuliaji wa Barca ya MSN yaani Messi, Suarez na Neymar ilivyobeba mataji matatu msimu wa 2014/15 na furaha ya Messi...
Messi vs Ronaldo : Messi apitia kipindi kigumu TOLEO lililopita, Mwandishi, Luca Caioli alielezea namna ambavyo Ronaldo alikuwa na furaha baada ya kutwaa taji la Ulaya ‘Euro 2016’ akiwa na Timu ya Taifa ya Ureno na kueleza kuwa hayo...