Tanzanite! Viwanja vitatu kupewa fainali FA Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) liko mbioni kubatilisha uamuzi wa fainali ya Kombe la Shirikisho la CRDB kuchezwa katika Uwanja wa Tanzanite, Babati mapema mwezi ujao huku viwanja...
Tshabalala awaachia msala wazawa Simba Simba kwa miaka ya hivi karibuni imekuwa eneo gumu sana kwa wachezaji wazawa wanaosajiliwa kupata nafasi ya kucheza katika kikosi cha kwanza na kuonyesha ubora. Wengi husajiliwa kisha baadaye...
PRIME Ishu ya Manji kurejea Yanga ipo hivi Manji alikuwa Uwanja wa Mkapa Jumamosi iliyopita akiishuhudia Yanga ikiibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Simba na kukaribia kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu Bara msimu huu, baada ya kufikisha...
PRIME Manji ana mchezaji mmoja Yanga Manji alikuwa Uwanja wa Mkapa Jumamosi iliyopita akiishuhudia Yanga ikiibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Simba na kukaribia kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu Bara msimu huu, baada ya kufikisha...
PRIME Prince Dube, Azam sasa kumekucha TFF Picha la Azam FC na Prince Dube limeanza upya na kuanzia kesho yatafichuka mengi pande hizo mbili zitakapokutana uso kwa uso kwa mara nyingine.
Simba fasta kuiwahi Yanga SIMBA ipo visiwani Zanzibar ilikoweka kambi maalumu kwa ajili ya mechi ya 'Kariakoo Derby' dhidi ya Yanga itakayopigwa Jumamosi Aprili 20 uwanja wa Benjamin Mkapa, lakini Wekundu...
Dullah Mbabe simu tatu ndizo sababu ya kipigo ulaya akitoka sare mara moja. Mwanaspoti limefanya mahojiano maalumu na Dullah Mbabe ambaye anashika nafasi ya tatu katika mabondia 19 wa uzani wa super middle huku duniani akiwa wa 217 katika...
PRIME Dube atinga rasmi TFF . Chuji akaikana sahihi iliyokuwa kwenye mkataba ilioutoa Simba. Ikabidi mikataba yote ipelekwe kitengo maalumu cha kutambua sahihi za watu na majibu hayakuwahi kutoka hadi TFF ilipoamua...
Nenda Kuka fundi wa mpira la Cooker ambalo limaana na mpishi. Kuka alikuwa mpishi wa mipira kwa wenzake, alikuwa akiupiga mwingi na licha ya kutangulia mbele ya haki baada ya kuzikwa jana jioni, mkongwe huyo ataendelea...
PRIME Mamelodi yaingia ubaridi, yalikataa basi la Yanga Benchi la ufundi la Yanga linaendelea na maandalizi ya mechi ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Mamelodi itakayopigwa Jumamosi ijayo kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, lakini jana...