Moises Caicedo kubaki Stamford Bridge hadi 2031 KIUNGO wa Chelsea, Moises Caicedo anatarajiwa kuendelea kubaki katika kikosi hicho kwa kusaini mkataba mpya na klabu hiyo yenye maskani yake jijini London.
Arsenal vs Man City, kuna nini nyuma ya pazia? KULIKUWA na mabadiliko ya kushangaza wikiendi iliyopita, ambapo Arsenal ilipoteza nyumbani kwa mabao 2-1 dhidi ya Bournemouth, jambo lililofungua nafasi kwa Manchester City kupunguza pengo katika...
City vs Arsenal, mechi kubwa ya kuamua ubingwa EPL MARA kwa mara, baadhi ya wataalamu wa masoko ya michezo wamekuwa wakishauri klabu za Ligi Kuu kuzingatia mfumo wa mchujo mwishoni mwa msimu. Wazo hilo halijawahi kufanikiwa, lakini dhana yake ni...
Lady Jaydee, malkia Bongofleva ‘mwenye dunia’ yake kimuziki KWA miaka mingi mwanamuziki Judith Wambura maarufu Lady Jaydee ameachia nyimbo zilizogusa hisia za wengi kwa sauti yake ya kipekee na ujumbe mzito, na sasa ni mmoja wa wasanii wakubwa na wenye...
Vita ya clean sheet yamuibua Mgaboni KIPA wa TRA United raia wa Gabon, Jean-Noel Amonome, amesema licha ya kutoruhusu bao katika mechi tisa za Ligi Kuu Bara msimu huu kwa maana ya kufikisha (Clean Sheets tisa), ila, malengo yake ni...
Mbappe aangushiwa jumba bovu Madrid MAMBO magumu, ndivyo unavyoweza kusema! Nyota wa zamani wa Arsenal na Chelsea, Emmanuel Petit amemkosoa straika Kylian Mbappe akidai amepeleka ubinafsi ndani ya chumba cha kubadilishia nguo cha...
Varane awindwa Singida BS MABOSI wa Singida Black Stars, wameanza mchakato wa kumfuatilia beki wa kati wa Police FC ya Rwanda, Mghana Issah Yakubu ‘Varane’, ili kuipata saini yake mapema, baada ya menejimenti ya nyota...
Wembanyama aongoza NBA 2026, Lebron akosekana KATIKA mpira wa kikapu, mjadala wa nani ni mchezaji bora zaidi duniani haujawahi kufika mwisho na mara nyingi kila zama huja na nyota wake lakini ni wachache sana wanaotawala mjadala huo kwa muda...
Guardiola: Hata tukishinda Arsenal, ubingwa bado mbali KOCHA wa Manchester City, Pep Guardiola, ameeleza kuwa hata kama timu yake itashinda mechi muhimu dhidi ya Arsenal leo haitakuwa timu inayopaswa kupigiwa hesabu zaidi kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu...
Frank Lampard aeleza furaha kuirejesha Coventry EPL KOCHA wa Coventry City, Frank Lampard, ameeleza kwa hisia furaha yake baada ya kuiongoza klabu hiyo kurejea kwenye Ligi Kuu England kwa mara ya kwanza baada ya miaka 25.