Raphinha afunguka kuhusu Xavi STAA wa Kibrazili, Raphinha amesema hakuwahi kuaminiwa na Kocha Xavi wakati alipokuwa akiinoa Barcelona - jambo lililomfanya apate shida sana Nou Camp.
Ten Hag kupewa mikoba ya Alonso ERIK ten Hag amepiga hatua kubwa kwenye mazungumzo ya kurithi mikoba ya Xabi Alonso katika kikosi cha Bayer Leverkusen, imeripotiwa.
Waarabu warudi kwa Vinicius Jr INAELEZWA matajiri wa Saudi Arabia wamerudi mezani kuzungumza na wawakilishi wa Vinicius Jr ili kumsajili dirisha lijalo la majira ya kiangazi kwa lengo la kuongeza ushawishi zaidi katika ligi yao.
Rio Ferdinand: Amorim kazi anayo RIO Ferdinand anaamini msimu wa hovyo wa Manchester United utawapa shida kwenye vita ya kusaka wachezaji wapya wa maana wa kuwasajili baada ya kichapo kutoka kwa Tottenham kwenye fainali ya...
Arne Slot kupewa dili jipya Anfield MABOSI wa Liverpool wameripotiwa kuwa na mpango wa kumpa dili jipya kocha Arne Slot baada ya Mdachi huyo kufunguka kwamba anataka abaki kwenye timu hiyo muda mrefu kama Jurgen Klopp.
Arsenal kupigwa za uso kwa Kimmich ARSENAL ipo kwenye hatari ya kuangukia pua kwenye mpango wa kumsajili kiungo wa Bayern Munich, Joshua Kimmich kwenye dirisha lijalo la majira ya kiangazi baada ya Mjerumani huyo kufikiria kusaini...
Gyokeres ni Arsenal sio Man United STRAIKA wa mabao wa kikosi cha Sporting CP, Viktor Gyokeres yupo tayari kutua kwenye Ligi Kuu England wakati wa dirisha lijalo la usajili ili kwenda kukipiga katika ligi hiyo msimu ujao.
NYEPESI NYEPESI ZA DABI: Ndugu wa damu walikaushiana dk 90 DABI ya Kariakoo ina utamu wake, ikiwamo baadhi ya wanandugu kuweka historia ya kucheza mechi hizo za Watani wa Jadi. Ndio ipo orodha ya wanandugu waliokipiga dabi lakini kila mmoja na wakati...
Mashabiki wamshangaza Amorim KOCHA wa Manchester United, Ruben Amorim ameshangazwa na maneno anayoambiwa na mashabiki wa Manchester United wanayomwambia kila wanapokutana naye.
Keane, Neville, Carragher waonywa kuhusu City SKY Sports imeonya wachambuzi wake jinsi inavyochambua kwa mbwembwe bila ya kufuata weledi juu ya sakata la mashtaka 115 yanayoikabili Manchester City juu ya madai ya udanganyifu kwenye matumizi.