Vigogo wategeana uchaguzi Simba KAMATI ya Uchaguzi wa Simba ilifungua mlango kwa wagombea kuchukua fomu kuwania nafasi mbalimbali tangu Desemba 5, mwaka huu lakini hadi jana Jumamosi hakuna mgombea aliyejitokeza kuchukua ya...
Ulimwengu aipeleka Mazembe makundi USHINDI wa mabao 2-1 walioupata TP Mazembe umetosha kusonga hatua ya makundi ya michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika ambapo mabao hayo yamefungwa na Mshambuliaji wa Kitanzania, Thomas...
Sasii avalishwa beji ya FIFA MWAMUZI aliyeipatia Simba penalti ya utata katika mechi yao na KMC uliomalizika kwa Simba kushinda bao 1-0, Hery Sasii ni miongoni mwa waamuzi 17 walioteuliwa kuvaa beji za Shirikisho la Soka la...
Mpango apendekezwa Makamu wa Rais Dar es Salaam. Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amempendekeza Waziri wa Fedha na Mipango, Dk Philip Mpango kuwa Makamu wa Rais. Jina la Mpango limesomwa bungeni mjini Dodoma leo Jumanne...
Kauli ya kwanza ya Manara baada ya kutemwa Simba Aliyekuwa Msemaji wa Simba, Haji Manara amefunguka kwa mara ya kwanza baada ya uongozi wa timu hiyo kutoa taarifa ya kuachana nae leo Julai 28, 2021. Nafasi ya Manara imezibwa na mwanahabari...
Polisi watoa tamko kuelekea derby ya Simba v Yanga Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es salaam limejipanga kikamilifu kuhakikisha ulinzi unaimarishwa kwa kiwango cha hali ya juu katika mchezo wa watani wa jadi Simba na Yanga siku ya tarehe...
CAF yailima Yanga faini Sh82 milioni KLABU ya Yanga imetozwa faini ya jumla ya Dola 35,000 na Caf ambayo ni zaidi ya Sh 82 milioni kwa makosa mbalimbali yanayodaiwa kufanywa katika mechi yao ya robo fainali kati yao na Rivers United...
Mayele kutetema Zenji leo BAADA ya kutwaa mataji, kiungo fundi wa Yanga, Feisal Salum ‘Fei Toto’ amemvusha maji Fiston Mayele tayari kwaajili ya mchezo wa kirafiki wa kuchangia watoto wenye uhitaji kisiwani Unguja.
Yanga yalaani shabiki kupigwa Uwanja wa Mkapa Kupitia mitandao ya kijamii kumesambaa video ikionyesha shabiki aliyevaa jezi ya Yanga akishambuliwa na mashabiki waliovalia jezi za Simba katika Uwanja wa Mkapa. Mwanasheria wa Yanga, Simon...
Simba yatinga fainali Kombe la Muungano SIMBA imetinga fainali ya Kombe la Muungano baada ya leo kuichapa KVZ mabao 2-0 katika Uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar.