Klose abariki Messi kuvunja rekodi yake SAA chache kabla ya Argentina kuanza kampeni yake ya Kombe la Dunia 2026, mshambuliaji wa zamani wa Ujerumani na kinara wa mabao wa muda wote wa mashindano hayo, Miroslav Klose, ametoa kauli...
Kutoka Diouf hadi Mane, Senegal yaota kurudia maajabu dhidi ya Ufaransa UNAKUMBUKA wakati Senegal ilipowashangaza mabingwa wa dunia watetezi, Ufaransa? Ni ile gemu ya Ufaransa 0-1 Senegal ya mwaka 2002. Inarudiwa tena leo. Ikiwa ni zaidi ya miongo miwili tangu...
Polisi wajigeuza 'maskoti' msako dawa za kulevya Kombe la Dunia POLISI wa Peru wametumia mbinu isiyo ya kawaida katika mapambano dhidi ya biashara ya dawa za kulevya, kwa kufanya operesheni maalumu mjini Lima wakiwa wamevalia mavazi ya vinyago rasmi vya Kombe...
Shakira atambulisha mpenzi mpya! KAMA bado unalitafakari biti kali la Dai Dai aliloliachia mwimbaji maarufu kutoka Colombia, Shakira Isabel, taarifa ikufikie kwamba ametambulisha mpenzi mpya anayetofautiana naye umri kwa miaka...
Rekodi 10 ngumu kuvunjika Kombe la Dunia 2026 WAKATI nyota kama Lionel Messi, Cristiano Ronaldo na Kylian Mbappe wakitarajiwa kuweka rekodi mpya katika Kombe la Dunia 2026, zipo baadhi ya rekodi ambazo zinaonekana kuwa ngumu kuvunjwa kabisa.
Salah aendeleza makali Kombe la Dunia LICHA ya timu ya taifa ya Misri kuanza kampeni za Kombe la Dunia kwa sare ya bao 1-1, dhidi ya Ubelgiji, ila nyota wa kikosi hicho, Mohamed Salah ameandika rekodi mbili za kibabe.
Yanga yaitaka Azam FC Zanzibar katika vita ya ubingwa Mchezo ujao wa Yanga itakuwa ugenini Uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha itakapokuwa mgeni wa Fountain Gate inayofundishwa na Fred Felix Minziro aliyewahi kuichezea Yanga nafasi ya beki wa...
Mwamuzi wa kike Mmarekani kuandika rekodi Kombe la Dunia MWAMUZI wa kike kutoka Marekani, Tori Penso anatarajiwa kuandika rekodi baada ya leo Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA), kumteua kusimamia mechi ya pili ya kundi A Kombe la Dunia kati ya...
Madeni ya Man United yaongezeka kufuatia mkopo wenye riba kubwa MANCHESTER United inaweza kujikuta ikilazimika kulipa mamilioni zaidi ya pauni kila mwaka baada ya kuongeza kiwango cha mkopo wake kwa Dola 125 milioni, huku ikikubali kiwango cha juu zaidi cha...