Neymar, Thiago waendeleza bifu la miaka sita MSHAMBULIAJI wa Santos, Neymar ameendeleza mvutano wake wa muda mrefu na kiungo Thiago Mendes baada ya mchezaji huyo kukataa kumpa mkono nyota huyo wa Brazil kabla ya mchezo wa Ligi Kuu ya Brazil.
Cristiano Ronaldo anavyoanza kuaga taratibu..! CRISTIANO Ronaldo anakaribia kuanza msimu ambao unaweza kuwa wa mwisho kwake kama mchezaji wa soka la kulipwa, jambo alilolisema mwenyewe kwenye mahojiano na jarida la Vogue, katika makala...
Arsenal yatuma salamu za msimu mpya Arsenal imeonyesha dalili zote za kuwa timu yenye nguvu zaidi katika soka la England baada ya kuonyesha kiwango cha juu, ubora na kina kuelekea msimu mpya.
Fenerbahce yakana tetesi za kumtaka Gittens FENERBAHCE imekanusha taarifa zinazodai kuwa inataka kumsajili winga wa Chelsea, Jamie Gittens, ikieleza kuwa tetesi hizo hazina msingi na ni sehemu ya jitihada za kuipotosha klabu.
Sunderland yamsajili Methalie kwa Sh68 bilioni SUNDERLAND imefikia makubaliano ya kumsajili beki wa kushoto wa Toulouse, Dayann Methalie, kwa ada ya jumla ya pauni milioni 25.6, sawa na takribani Sh68 bilioni.
Irankunda aondoka Watford, ajiunga Sporting MSHAMBULIAJI wa Watford, Nestory Irankunda, ameondoka klabuni hapo baada ya msimu mmoja na kujiunga na vigogo wa Ureno, Sporting Lisbon, kwa uhamisho wa moja kwa moja.
CRDB Marathon yavuka Sh5 bilioni MASHINDANO ya CRDB Bank International Marathon, yamegeuka kutoka kuwa tukio la michezo na kuwa mpango mkubwa wa kuleta athari chanya katika jamii, baada ya kukusanya zaidi ya Sh5 bilioni tangu...
Makocha wapya EPL: Nani atatoboa? Msimu mpya wa Ligi Kuu England umeanza ukiwa na sura mpya kwenye benchi za ufundi, huku klabu tisa zikiwa na makocha wapya na kila mmoja akiwa na malengo yake.