Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

221 results for Mustafa Mtupa :

  1. Mambo manne, Simba, Yanga kufuzu nusu fainali

    OFISA habari wa Bodi ya Ligi Kuu Bara, Karim Boimanda, ametaja mambo manne ambayo anaamini yataziwezesha Simba na Yanga kufuzu hatua ya nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa barani Afrika. Karim...

  2. Ndumbaro: Mashabiki wanaopokea wageni kushughulikiwa

    WAZIRI wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Damas Ndumbaro amesema Serikali itakutanma na Shirikisho la Soka nchini na klabu za Simba na Yanga ili kuona inatoa mchango gani kuhakikisha timu hizo...

  3. Dube: Mokwena anaiogopa Yanga

    MWANDISHI wa habari kutoka Afrika ya Kusini, Dube Mthoko amesema Kocha wa Mamelodi Sundowns, Rhulani Mokwena Hloae anaiogopa Yanga kuelekea mchezo wao wa robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika...

  4. Arafat: Simba, Yanga ziache kusaidia wageni

    MAKAMU wa rais wa Yanga, Arafat Haji amesema Simba na Yanga zina nafasi ya kutinga nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa ikiwa zinatajipanga vizuri na kutumia zaidi uwanja wa nyumbani na mashabiki...

  5. Kocha Mamelodi kujichimbia ili kuitazama Yanga

    BAADA ya kuwafahamu wapinzani wao, kocha wa Mamelodi Sundowns, Rhulani Mokwena amesema anakwenda kujichimbia kuitazama zaidi Yanga kiufundi wakati wa mapumziko ya kalenda ya mechi za...

  6. Tyson alivyolaaniwa na kubarikiwa

    LAS VEGAS, MAREKANI. Ni kweli nimefilisika, lakini nina maisha mazuri, nina mke mzuri ambaye ananijali, sina kitu kwa sasa lakini huko nyuma nilifanya starehe sana, kufilisika kumetokea tu, nina...

  7. Gamondi wala hawahofii Mamelodi

    DROO ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika imepangwa leo jioni na miamba ya soka nchini, Yanga na Simba zikifahamu wapinzani watakaokutana nao kwenye hatua hiyo. Yanga imepangwa kukutana na...

  8. Yanga: Hatuwaogopi Mamelodi

    MTENDAJI Mkuu wa Yanga, Andrew Mtine amesema hawaiogopi Mamelod Sundowns waliyopangwa nayo kwenye hatua ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika, huku akitaja mambo matatu. Mtine ameyataja...

  9. Simba iliitamani Petro, Ahly freshi

    BAADA ya droo ya Ligi ya Mabingwa Afrika kufanyika na Simba kupangwa na Al Ahly kwenye mchezo wa robo fainali, mjumbe wa bodi ya wakurugenzi ya Simba, Issa Masoud amesema kukutana na Ahly mara...

    New Content Item (1)
  10. Simba, Asec hazichekani hapa

    IKIWA Ligi ya Mabingwa Afrika imefika hatua ya robo fainali, kama kawaida timu nane zimefuzu baadhi zikiwa zimeonyesha viwango bora kwenye hatua ya makundi zikishika nafasi ya kwanza. Hata...

Previous

Page 8 of 23

Next