Moto wa EPL: Arsenal yakaba kileleni, vita ya kushuka daraja yanoga VITA mbalimbali zinaendelea katika ligi tano bora za Ulaya kwa sasa, huku pendwa ya England ikipigwa tena leo baada ya Leeds United na Burnley kumalizana katika mzunguko wa 35, jana usiku.
AFCON 2027: Wizara ya Maliasili na Utalii kuzipa hadhi hoteli za kitalii IDARA ya Utalii kwa kushirikiana na Kitengo cha Mawasiliano cha Wizara ya Maliasili na Utalii, imesema inatarajia kuanza mchakato wa kupanga hadhi (Grading and regrading) kwa watoa huduma wa...
Mkongwe asisitiza... Casemiro, Ugarte wanasepa Man United MANCHESTER United imetakiwa kutumia fedha nyingi kutafuta mbadala wa kiungo Casemiro na Manuel Ugarte ambao wanaondoka mwisho wa msimu huu, jambo ambalo linaweza kuiathiri timu hiyo iwapo...
Nyota Spurs astaafu baada ya miaka 11 ya maumivu NYOTA aliyekuwa kipenzi cha mashabiki wa Tottenham Hotspur, Erik Lamela ametoa taarifa kuhusu upasuaji wake wa nyonga baada ya kulazimika kustaafu akiwa na umri wa miaka 33 kufuatia miaka 11 ya...
Napoli yajitosa kwa Jadon Sancho KWA mujibu wa ripoti, Napoli ya Italia imefanya mawasiliano ya awali na wakala wa Jadon Sancho kuhusu uwezekano wa kumsajili winga huyo wa Manchester United ambaye mkataba wake unamalizika mwisho...
CD Colunga kumtumia kipa wa miaka 70 Ligi daraja la tano Hispania KATIKA umri ambapo wachezaji wengi wa zamani wa soka wangependelea kukaa wakiwasimulia wajukuu, marafiki na watu wa karibu baa hadithi tamu kuhusu umahiri wao wa zamani uwanjani, Angel Mateos...
Neymar achagua timu mbili fainali Kombe la Dunia 2026 MSHAMBULIAJI wa Santos na Brazil, Neymar Jr amechagua nchi mbili ambazo angependa kucheza nazo katika fainali ya Kombe la Dunia 2026, ingawa hadi sasa hana uhakika wa kuchaguliwa kwenye kikosi...
Salah aipa Liverpool matumaini LIVERPOOL ina matumaini nyota wao Mohamed Salah atarejea uwanjani kabla ya kuondoka mwishoni mwa msimu huu.
Ashley Young kustaafu soka mwishoni mwa msimu ALIYEKUWA nahodha wa Manchester United na winga wa zamani wa timu ya taifa ya England, Ashley Young, ametangaza rasmi kuwa atatundika daruga mwishoni mwa msimu huu, akihitimisha safari ya kipekee...
Ronaldo azungumza kwa mara ya kwanza ishu ya kustaafu GWIJI wa soka duniani, Cristiano Ronaldo, amekiri kwa mara ya kwanza kuwa mwisho wa safari yake ya soka umeanza kukaribia, huku akisisitiza kuwa bado anafurahia kila dakika anayocheza uwanjani.