Kombe la Dunia lipo ofisini kwa Rais Trump RAIS wa Marekani, Donald Trump amefichua kwamba ofisi zake za Oval ndiko lilipo taji la Kombe la Dunia la Klabu limehifadhiwa.
Benzema, Kante watwaa ubingwa Saudia Al Ittihad ya Saudi Arabia imetangazwa kuwa bingwa mpya wa Ligi Kuu ya nchi hiyo baada ya kufikisha pointi 77.
Duh! Amorim hafiki Krismasi KIUNGO wa zamani wa Tottenham, Jamie O'Hara amesema haoni kama kocha wa Manchester United, Ruben Amorim ataendelea kusalia kwenye timu baada ya Krismasi ya mwaka huu.
Real Madrid yatuma watu Italia RIPOTI kutoka Italia zinaeleza, Real Madrid imetuma wawakilishi wake kwenda Italia kwa kukutana na mabosi wa AC Milan na kuanza mazungumzo ya kumsajili winga wao Rafael Leao, 25, dirisha lijalo...
Osimhen afunguka mustakabali wake Napoli STRAIKA wa Napoli, Victor Osimhen amezungumzia mustakabali wake wakati mkataba wa mkopo wa msimu mmoja Galatasaray ukitarajiwa kumalizika mwisho wa msimu huu.
Mose Iyobo, Masha Love mahaba niue SIKU chache tangu kusambaa kwa tetesi kwamba Mose Iyobo, dansa wa Diamond anatoka kimapenzi na staa wa Bongo Movie, Masha Love mwenyewe amevunja ukimya na kukiri ni kweli ni mtu wake na jkwamba...
Polisi Kenya yaing'oa Coffee, sasa kuwavaa Zamalek WAWAKILISHI wa Kenya katika michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika, Polisi Fc imefuzu raundi ya pili ya michuano hiyo ikiwa ugenini baada ya kuing'oa Coffee Bunna ya Ethiopia kwa bao 1-0 katika...
Uhamiaji yapewa nafasi ya Chipukizi CAF KLABU ya Uhamiaji imepata nafasi ya kuiwakilisha Zanzibar katika michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika msimu ujao 2024-2025.
ZILIPENDWA ; Mafisango: Simba nilipeni changu nirudi kwetu BAADA ya kusimamishwa na uongozi wa Simba, Patrick Mafisango, sasa anataka alipwe ili arudi kwao Rwanda.
Griezmann aambiwa awateme Barcelona SUPASTAA, Antoine Griezmann ameambiwa afungashe virago vyake na kuihama Barcelona wakati dirisha lijalo la uhamisho wa majira ya kiangazi litakapofunguliwa.