Nabi amtaka Mayele, amuita Kaizer Chiefs Kocha mpya wa Kaizer Chiefs, Nasreddine Nabi ameuomba uongozi wake kuhakikisha unamsajili mshambuliaji wa Pyramids FC, Fiston Mayele kwa ajili ya kuimarisha safu yao ya ushambuliaji.
Albamu mpya ya Bruce Melodie gumzo STAA mahiri wa muziki wa Rwanda, Bruce Melodie ameachia albamu l mpya iitwayo ‘Colorful Generation’ ambayo ni moto wa kuotea mbali na kuwa gumzo mitandaoni.
Chido Obi amtumia meseji kocha Amorim STRAIKA kinda wa Manchester United, Chido Obi amemtumia ujumbe kocha wa timu hiyo Ruben Amorim baada ya kumpa muda mchache wa kucheza mechi yake ya Ligi Kuu England dhidi ya Tottenham, Jumapili.
Liverpool yaangukiwa na bahati ya ubingwa EPL LIVERPOOL imepewa asilimia 87.65 ya kunyakua ubingwa wa Ligi Kuu England msimu huu licha ya kushinda kwa mbinde dhidi ya Wolves, Jumapili.
Bruce Melodie adondosha “Niki Minaji” X Blaq Diamond MSANII wa muziki kutoka Rwanda, Bruce Melodie, ameachia singo yake mpya iitwayo “Niki Minaji” akiwa amemshirikisha msanii wa Afrika Kusini, Blaq Diamond.
Wasaudia waweka mzigo kwa Greenwood MSHAMBULIAJI wa Marseille, Mason Greenwood huenda akatimkia Saudi Arabia katika dirisha la majira ya kiangazi baada ya matajiri hao kuweka mezani Euro 90 milioni kwa ajili ya kuipata huduma yake.
Mbappe, Bellingham tumbo joto La Liga MASTAA wa Real Madrid, Kylian Mbappe na Jude Bellingham, walikiri kuwa hawakuwa bora vya kutosha katika kipigo cha kushangaza nyumbani kwao dhidi ya Valencia Jumamosi na wanajipanga wao kama...
Bruno Fernandes akataa kichaka cha Europa NAHODHA wa Manchester United, Bruno Fernandes anaamini kushinda Europa League hakutobadilisha ukweli, msimu huu kwao ulikuwa ni mbaya.
Mbeumo aende, abaki freshi tu KOCHA wa Brentford, Thomas Frank ameshindwa kufuta uwezekano wa staa wake Bryan Mbeumo kuhama kwenye dirisha lijalo la uhamisho wa majira ya kiangazi jambo linalowapa mzuka mkubwa Liverpool.
Luka Modric anatajwatajwa Swansea City KIUNGO Luka Modric na klabu ya Real Madrid wametangaza kwamba staa huyo ataachana na maisha ya Bernabeu baada ya kukamilika kwa michuano ya Kombe la Dunia la Klabu.