Simeone: Tumebadili hoteli ili kubana matumizi, sio ushirikina
KOCHA wa Atletico Madrid, Diego Simeone, amepuuza madai kuwa alibadili hoteli ya timu hiyo jijini London kutokana na imani za kishirikina, akisisitiza kuwa uamuzi huo ulilenga kuokoa fedha za klabu.