Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

112 results for Matereka Jalilu :

  1. Opare afungua njia Dodoma Jiji

    HATIMAYE Dodoma Jiji wametambulisha mchezaji wao wa kwanza waliyemsajili katika dirisha la usajili msimu huu, wakimtangaza mshambuliaji Collins Opare kutoka timu ya Biashara United.

  2. Simba, Fountain Princess kumalizana Dodoma

    BAADA ya kumalizana kwenye ubingwa wa Ligi Kuu wanawake msimu uliopita ambao Simba Queens walifanikiwa kuendeleza ubabe, timu za Fountain Gate na Simba Queens zitakuwa na kibarua cha mwisho...

  3. Warriors yabeba taji la NBA, Curry MVP

    MECHI sita pekee zimetosha kwa timu ya Golden State Warriors kuwa mabingwa wapya wa ligi ya kikapu Marekani (NBA), kufuatia kuifunga timu ya Boston Celtics leo Ijumaa kwa pointi 103-90 kwenye...

  4. NBA MVP yaacha gumzo Marekani

    GUMZO kubwa kwa sasa kwenye Ligi ya Kikapu Marekani ni tuzo ya bora (NBA MVP) kuingia faianli bila kuwepo mchezaji raia wa nchi hiyo huku Nikola Jokic wa timu ya Denver Nuggets akitwaa tuzo ya...

  5. Simba vs Dodoma Jiji yabadilishiwa muda

    MCHEZO wa Ligi Kuu ya NBC kati ya wenyeji Simba dhidi ya Dodoma Jiji, uliokuwa uchezwe majira ya Saa 1 Usiku, sasa umerudishwa nyuma.

  6. Masoud Djuma kocha mpya Dodoma, msaidizi ni huyu

    NI Rasmi sasa, aliyewahi kuwa Kocha msaidizi wa Simba, Masoud Djuma Irambona, ndiye Kocha mkuu mpya wa Dodoma Jiji.

  7. Fountain Gate yaleta Mmisri kwa Ulimboka

    Dodoma. MATOKEO mabovu kwenye Ligi ya Championship msimu huu, yamewalazimu mabosi wa Fountain Gate FC, kuleta kocha kutoka nje ya nchi. Kocha Ahmed Soliman kutoka nchini Misri, ndiye hatimaye...

  8. Hearn amhofia AJ kwa Usyk

    ANTHONY Joshua ‘AJ’, bondia wa uzito wa juu duniani kutoka England anahesabu miezi mitatu kuanzia sasa kabla hajapanda ulingoni kukomboa mikanda yake mitatu aliyokuwa nayo - IBF, WBA, na WBO...

  9. Djokovic ngoma ngumu Australian Open

    TANGU Jumatano wiki iliyopita, staa na bingwa mtetezi wa michuano ya tenisi ya wazi ya Australia (Australian Open), Novak Djokovic amekumbana na vikwazo vya kuingia nchini humo kutokana na...

  10. Klay sasa njia nyeupe kutisha NBA

    Wapenzi wa Ligi ya Kikapu Marekani (NBA) walishuhudia kwa mara nyingine kurejea kwa staa mkubwa, Klay Thompson wa Golden State Warriors akicheza tena baada ya kuwa nje misimu miwili.

Previous

Page 7 of 12

Next