SPOTI DOKTA: Desemba kipindi kigumu Ligi za Ulaya KILE kipindi cha majira ya baridi kali barani Ulaya ndio kimeanza kunoga ambapo theluji inadondoka na kufanya mazingira yake kuwa ya baridi kali inayoshuka mpaka chini ya nyuzijoto sifuri. Hivi...
SPOTI DOKTA: Vurugu za mashabiki Brazil, Argentina ni darasa JUMATANO usiku wiki iliyopita katika mechi ya kutafuta tiketi ya kushiriki Kombe la Dunia 2026 kati ya Brazil na Argentina nchini Brazil ilishuhudiwa vurugu za mashabiki wahuni wa soka wa nchi...
SPOTI DOKTA: Majeraha haya yanamweka nje Haaland? MWISHO mwa wiki iliyopita na wiki hii kulikuwa na mapumziko ya Ligi Kuu mbalimbali duniani kwa ajili ya kupisha mechi za kimataifa zikiwamo zile za kuwania kufuzu ushiriki wa fainali za Euro 2024...
SPOTI DOKTA: Kifo cha Dwamena kuna kitu cha kujifunza Medani ya soka ilipata pigo Jumamosi iliyopita baada ya mwanasoka Raphael Dwamena, raia wa Ghana kuanguka ghafla uwanjani katika mchezo wa Ligi Kuu Albania kati ya klabu yake ya KF Egnatia na FK...
SPOTI DOKTA: Kipigo cha Yanga kimeteteresha afya JUMAPILI katika Uwanja wa Benjamini Mkapa kwenye mchezo wa Ligi Kuu, Yanga ilimdhalilisha mtani wake wa jadi, Simba mara baada ya kumpiga kipigo cha aibu cha mabao 5-1. Kipigo hicho...
SPOTIDOKTA: Jeraha la Neymar liko hivi... Mshambuliaji wa soka wa AL Hilal na staa wa Timu ya Taifa ya Brazil, Neymar Jr amepata jeraha baya la goti wakati akitimiza majukumu ya timu ya taifa. Staa huyu mwenye umri wa miaka 31 alipata...
SPOTI DOKTA: Wanasoka hawa wanapeta na umri wa miaka 30+ WAKATI Yanga inamnyakua kiungo wa Simba, Jonas Mkude, katika msimu huu baadhi ya wadau wa soka walinyoosha kidole kuonya usajili huo wakisema ni mchezaji mzee yaani umri wa 30+. Haishangazi...
Faida na hasara za kufanya mazoezi ufukweni NI kawaida kwa wanasoka au wanamichezo hapa Bongo kuwaona wakijiongeza kwa kufanya mazoezi katika maeneo ya ufukweni wakiamini ni moja ya maeneo mazuri kujenga utimamu wa mwili. Kujiongeza kwa...
Daktari agusia jeraha la Kramo kuendelea na shughuli zake.” Daktari wa Mwanaspoti, Shita Samwel akizungumzia jeraha la nyota huyo alisema; “Kuna aina tatu kwenye hizo nyuzi sasa unapoumia ukafanyiwa vipimo vya MRI...
PRIME SPOTIDOKTA: Uungwana unapunguza majeraha mabaya KATIKA mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa kwenye Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam Alhamisi iliyopita ilishuhudiwa beki wa Simba, Henock Inonga akichezewa rafu mbaAya na mshambuliaji wa soka wa...